Ukishawishiwa kuvaa nguo nyeusi, unaweza kubadilisha baadaye. Lakini ukishawishiwa kukata mkono, ukikubali ujue huo ndio uamuzi wa maisha yako yote. Hakuna kubadilisha likishatendeka. Watu tunapohoji mambo si kwamba tuna ukaidi, la hasha. Tunataka kuwa na uhakika.
………
Dr. Peter Daszak, rais wa EcoHealth Alliance, alisema mwaka 2015 – narudia tena, MWAKA 2015 – MIAKA 4 KABLA YA KORONA.
……….
We need to increase public understanding of the need for MCMs such as pan influence or pan-coronavirus vaccine. A key driver is the media, and the economics follow the hype. We need to use that hype to our advantage to get to the real issues. Investors will respond if they see profit at the end of the process.
key driver is the media – tumeona jinsi vyombo vya habari vilivyotumika kusukuma SANA suala la korona
economics follow the hype – Mhhhh!! –uchumi unafuata iliko promotion.
To get to real issues – kumbe afya za watu si real issue hapa!! Real issues ni nini basi?
Investors will respond if they see profit – alaa! Kumbe porojo zote hizi, kutujaza hofu kote huku, kutumia vipimo vya uongo (PCR test), na hata kumwaga misaada huku, kumbe mnachotafuta ni “profit”?
…………..
Je, unadhani mawazo haya ni ya Daszak peke yake?
Je, mawazo haya ni salama au si salama?
………….
Hivi kuuliza maswali ni jambo baya? Kuhoji mambo ambayo nikitendewa hakuna reverse gear milele ni jambo baya kweli?
Dogo naona na wewe una blue tick. Now this is too much. Sijui ni vigezo gani vimetumika wewe kupewa? Tunapoelekea zitakosa mantiki. Uongozi wa JF uliangalie hili swala kwa jicho la tatu. Yani Melo mchizi wetu anazigawa kama njugu. Nasuburia tu Idugunde apewe tu blue tick najitoa mazimaa jamvin.
Dogo naona na wewe una blue tick. Now this is too much. Sijui ni vigezo gani vimetumika wewe kupewa? Tunapoelekea zitakosa mantiki. Uongozi wa JF uliangalie hili swala kwa jicho la tatu. Yani Melo mchizi wetu anazigawa kama njugu. Nasuburia tu Idugunde apewe tu blue tick najitoa mazimaa jamvin.
Taarifa hapo chini zinasema kwamba, kampuni ya kutengeneza chanjo za Corona, Pfizer, inatarajiwa kutengeneza faida ya shs.Trillion 70 kwa mwaka huu wa 2021 pekee, je, nawezaje nunua hisa walau 10 tu za kampuni hii? Ikumbukwe, hii ni bajeti halisi ya Tanzania kwa miaka zaidi ya miwili (2) ---...
Dogo naona na wewe una blue tick. Now this is too much. Sijui ni vigezo gani vimetumika wewe kupewa? Tunapoelekea zitakosa mantiki. Uongozi wa JF uliangalie hili swala kwa jicho la tatu. Yani Melo mchizi wetu anazigawa kama njugu. Nasuburia tu Idugunde apewe tu blue tick najitoa mazimaa jamvin.
Dogo naona na wewe una blue tick. Now this is too much. Sijui ni vigezo gani vimetumika wewe kupewa? Tunapoelekea zitakosa mantiki. Uongozi wa JF uliangalie hili swala kwa jicho la tatu. Yani Melo mchizi wetu anazigawa kama njugu. Nasuburia tu Idugunde apewe tu blue tick najitoa mazimaa jamvin.