Mambo ya afya haya

Mambo ya afya haya

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,205
Reaction score
829,188
1412829406898.jpg
 
Wanajua ila wameshindwa kutatua tatizo. Ni rahisi sana kama wataamua kwa dhati
 
watu kama hawa nina mashaka kama kweli wanaweza kula kile chakula cha falagha
 
suruari anaifungia wapi sasa,

hapo mlegezo unakuhusu haijalishi unapenda hupendi.
kuna mmoja yuko hivyo miaka 30 hajaoa na bado akipata mtu anaye kubali alivyo analeta kutotulia aanachwa daily halafu anajifanya yeye ndo anaacha.angekuwa na hela angewapata ndo hivyo mshahara wa kima cha kati ni shiida
 
hapo mlegezo unakuhusu haijalishi unapenda hupendi.
kuna mmoja yuko hivyo miaka 30 hajaoa na bado akipata mtu anaye kubali alivyo analeta kutotulia aanachwa daily halafu anajifanya yeye ndo anaacha.angekuwa na hela angewapata ndo hivyo mshahara wa kima cha kati ni shiida

Hilo nalo neno eeeh...!!!
 
Back
Top Bottom