Mimi nilisoma chuo na kaka handsome wangu, tukawatunajishughulisha sana kutafuta pesa tangu tupo chuo. Tulikuwa na ka mradi ka kufuga kuku wakisasa japo tulikuwa tunafuga kwa taabu sana ila walikuwa wanatusaidia matumizi, dada yangu ndio alikuwa anasimamia mradi wetu wa kuku. Tukakamaliza masomo mwenzangu akapangiwa kazi Temeke mimi Pwani, jamaa akaishia kusepa na secretary wake, kisa alimpa mimba! Looo! nilipita maiaka kama miwili hivi