Mambo vipi marafiki naombeni msahada

Loveb

Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
8
Reaction score
2
Wakujua ninacamera yangu ya Canon zoom mealibika frash nikiiwasha inaniandikia raise the flash wakati nimesha ifungua imeinuka naomba kujua nifanyeje.
 
Kijana, naomba nitajie jina kamili na model ya camera yako, ikiwezekana na picha.

Halafu elezea vizuri, hiyo message inakuja ukiwasha camera au ukitaka kushoot?

Na hiyo error message ilianza baada ya wewe kufanya nini?
 
Camera ni nikon coolpix L330 26 X optical zoom wide
 
Kiswahili tatizo toka heading hadi maudhui unawakimbiza walio na nia ya kukupa msaada.
 
Tatizo sio kiswahili tatizo hizi simu
 
Ujumbe si mmeupata, yaani mmeelewa alichotaka kusema!
Sasa mpeni ushauri wa tatizo lake msiishie kumkosoa.
 
Ujumbe si mmeupata, yaani mmeelewa alichotaka kusema!
Sasa mpeni ushauri wa tatizo lake msiishie kumkosoa.
kukosolewa pia ni sehemu ya maisha huwezi kujifunza bila kukosolewa ....................... hatumpi msaada mpe wewe

hahahahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…