Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
UsitutisheHabarini !
Kwa kawaida ndoa Ina mambo mengi sana na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivyo katika pita pita zangu nimekutana na mada hii ambayo imelenga sana Kwa wanawake hasa waliopo kwenye ndoa.
Kama mwanamke inapaswa ujue kuna vitu vya kuingea na kutoongea na mmeo hata kama vilitokea kabla ya mahusiano yetu kufika hatua ya ndoa. Hivyo yafuatayo hupaswi kuyazungumza popote hasa hasa ukiwa na mmeo :
1. Idadi ya wanaume uliojamiana nao kabla ya ndoa au kukutana na mmeo.
2. kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mme wako.
3. Usimwambie mmeo unampenda sana rafiki yako au shemeji.
4. Usijaribu kumwambia kuwa mnamchukia mama yake au familia Kwa ujumla.
5. Usimtishie mme wako kuwa utakuja kuachana naye.
Also, it can be vice versa
Asanteni.