Sijamkatalia...elewa my point,anaweza akayafanya hayo na mwanaume/mwanamke akatulia ama anaweza akayafanya na bado asitulie ndani...kuna wanaume hadi wanaimbiwa nyimbo wakati wa kula...mwanamke katulia pembeni anampepea mumewe huku anaimba lakini mwanaume wapiii.....