Mambo Rais Samia h(a)tafanya 2025/30!

Mambo Rais Samia h(a)tafanya 2025/30!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,217
Reaction score
14,812
kama akifanikiwa kweli kutawala mpaka 2o3o, itathibitisha mambo mengi kwamba yote yaliofanyika yalikutwa tayari yamefanyika, hivyo mpa 2o3o haitajengwa hata km 5 za sgr kuanzia dodoma kuelekea manyoni, sgr dar-dom ndiyo mwisho na hata itakufa na kuota nyasi kwenye mataluma mpaka 2o3o, tuwekeni dau kama kuna mtu anaamini tofauti.

treni ya sgr haitaweza kwenda hata km 5 tu past dodoma, bwawa la Nyerere litasimama kwa kukosa uangalizi na repair kwa maana nyingine mpaka 2o3o halitozalisha >2000 MW of electricity, mwendokasi zitakufa na daladala na boda boda alizoanzisha raisi mwinyi kutamalaki.

hayo myategemee mwaka 2o3o …
 
Back
Top Bottom