Mambo poa...

Mambo poa...

View attachment 95656

Vijana wamejitambua,

Big UP!

Mkuu,

Vijana wako kikazi zaidi.

Kikazi zaidi.jpg
 
May be

Natamani mtu afanye risechi, tupate kitu uhakika

Yanayoendelea bungeni ni kwasababu mbili tu za msingi;
Mosi, Spika ameshindwa kulimudu bunge kwahiyo anayumbayumba hadi atakapopata pa kushika ndipo mambo yanakwenda.
Pili wabunge wamebuni mbinu mpya ya kujiongezea posho kwa kufanya mambo ya kihuni ili tu bunge liahirishwe na by default siku za mijadala zinaongezeka na hivyo wataendelea kuhudhuria chako ni chako.
 
Ni mambo poa? au Mambo dole? "tupu halina ukucha, ukilikalia...." Alafu Kwa nini vijana pekee ndio hawana kikombe cha chai?
 
Back
Top Bottom