Mambo niliyojifunza katika ndoa

daaah ni hayo tu au ndo uvivu wa kuandika
 
Ni kweli uliyoeleza ila jambo la kwanza katika ndoa ili ilete mafanikio ni kujituma hasa katika utafutaji
Haswa sisi wanaume tunajituma mpaka nguvu za kiume zinatuishia KMMK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…