Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 520
- Thread starter
- #21
Umeandika ukiwa na mhemko mkubwa sana. Hebu relax then utuambie unataka kusema nini..
Sawa mkuu
Umeandika ukiwa na mhemko mkubwa sana. Hebu relax then utuambie unataka kusema nini..
Nimewasikiliza, hawa watu wana vision an mipango. In reality wana inspire wengi jamaa wametoka mbali sana na wanafanya kazi kipee sana.
Tutabaki kupiga kelele huku lakini huyu Kusaga na team yake wamejipanga sana na sasa anadai kufikia Feb inabidi waanze rusha vipindi UAE baada ya kupata kibari ambacho wanaiger na SA walinyimwa
Na kauli yake mwenyewe kadhihirisha hata wasafi media ana shares, pia kaongeza kwamba ana hakika clouds haiwezi kushuka kwa miaka 20 ijayo.Hawa. Jaama hakuna mtu wakuwashusha wameanzia mbali sana
Wasafi wanapita juu ya mgongo wa clouds nirahisi sana kushuka
Kwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)
Na kauli yake mwenyewe kadhihirisha hata wasafi media ana shares, pia kaongeza kwamba ana hakika clouds haiwezi kushuka kwa miaka 20 ijayo.
Hapa ndipo napowachoka wabongo! Kila kitu ni kufuata mkumbo. Wasanii: kuna wawili kila mmoja ana misule yake, redio: kuna station mbili kila mmoja ana misukule yake, timu za mpira: kuna mbili, kila moja ana isukule yake. Kila kitu kina pande mbili zinazobishana kwa kufauata mkumbo. Mazee usiniweke kwenye kundi la misukule tafadhali.Sasa ww ndio umeniajiri?
Nilishakulilia shida?
Kwani tatizo liko WAP?
Au kwasababu nimetaja redio usioipenda!
Bonge la pointKwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)
Kwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)
Kinachokusumbua ni kutojua kuwa nguvu iliyoko nyuma ya clouds ndio iliyo nyuma ya wasafi radio & tvJamani niko hapa nasikiliza clouds duuh! Mambo ni motoo
Hao wasafi watasubiri
Fiesta dar/East Africa is back
Kama na wewe unasikiliza/ulisikiliza achia comment yako like muhimu
Hii ni kwa mashabiki wa clouds...
Karibuni!
Shukuru mungu sio ya babaake, maana ningemuomba ridhaa nikunase makofi ya mashavu kwa huu ujinga umeweka hapaAisee! JF ya baba ako😎😎
Unaposema wamekosa mvuto unamaanisha nini..kwamba Powerbreakfast ya sasa hivi hakuna kitu??,,..
Na iweje sasa Clouds wazidiwe na redio uliyosema mwenyewe kuwa yenyewe ni muziki mwanzo mwisho??..Clouds ni muunganiko wa vitu vingi News,Sports,Community issues,Lifestyle na mengineyo mengi..So unapokuwa unacompare vitu uwe unaangalia na comparing factors
Shukuru mungu sio ya babaake, maana ningemuomba ridhaa nikunase makofi ya mashavu kwa huu ujinga umeweka hapa
Watu wanatembea na Mapungufu ya Clouds.... WasafiTV inavutia kuitizama kivipind kuliko Clouds Tv...
Wasafi Festival jumamosi wapo Mombasa baada ya hapo wataingia jijini Nairobi! embu nambie huko kenya wanamziki gani wa Tanzania wanakubalika kule?Jamani niko hapa nasikiliza clouds duuh! Mambo ni motoo 🔥🔥🔥🔥
Hao wasafi watasubiri
Fiesta dar/East Africa is back
Kama na wewe unasikiliza/ulisikiliza achia comment yako like muhimu
Hii ni kwa mashabiki wa clouds...
Karibuni!
Wanaangalia kipindi gani??
Na ni audience ya aina gani??
Umekurupuka kuni_Qoute sijaringanisha radio mimi.Unaposema wamekosa mvuto unamaanisha nini..kwamba Powerbreakfast ya sasa hivi hakuna kitu??,,..
Na iweje sasa Clouds wazidiwe na redio uliyosema mwenyewe kuwa yenyewe ni muziki mwanzo mwisho??..Clouds ni muunganiko wa vitu vingi News,Sports,Community issues,Lifestyle na mengineyo mengi..So unapokuwa unacompare vitu uwe unaangalia na comparing factors
Bonge la point