Mambo ni motoo clouds

Mambo ni motoo clouds

Nimewasikiliza, hawa watu wana vision an mipango. In reality wana inspire wengi jamaa wametoka mbali sana na wanafanya kazi kipee sana.
Tutabaki kupiga kelele huku lakini huyu Kusaga na team yake wamejipanga sana na sasa anadai kufikia Feb inabidi waanze rusha vipindi UAE baada ya kupata kibari ambacho wanaiger na SA walinyimwa

Hawa. Jaama hakuna mtu wakuwashusha wameanzia mbali sana

Wasafi wanapita juu ya mgongo wa clouds nirahisi sana kushuka
 
Hawa. Jaama hakuna mtu wakuwashusha wameanzia mbali sana

Wasafi wanapita juu ya mgongo wa clouds nirahisi sana kushuka
Na kauli yake mwenyewe kadhihirisha hata wasafi media ana shares, pia kaongeza kwamba ana hakika clouds haiwezi kushuka kwa miaka 20 ijayo.
 
Kwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)

Hao wasafi nirahisi kushuka kwasababu wapita juu ya mgongo wa clouds hawana ubunifu zaid wanacopy na kupaste

Clouds forever


Kingine #achaUnafikiUendeMbinguni
Unaichuki clouds alafu unaisikiliza we mnafiki ngumu kumeza
 
Na kauli yake mwenyewe kadhihirisha hata wasafi media ana shares, pia kaongeza kwamba ana hakika clouds haiwezi kushuka kwa miaka 20 ijayo.

Ni kweli mkuu lakin kusaga mnafiki sana yule jamaa anawangonga kwa nyuma
 
Sasa ww ndio umeniajiri?

Nilishakulilia shida?

Kwani tatizo liko WAP?

Au kwasababu nimetaja redio usioipenda!
Hapa ndipo napowachoka wabongo! Kila kitu ni kufuata mkumbo. Wasanii: kuna wawili kila mmoja ana misule yake, redio: kuna station mbili kila mmoja ana misukule yake, timu za mpira: kuna mbili, kila moja ana isukule yake. Kila kitu kina pande mbili zinazobishana kwa kufauata mkumbo. Mazee usiniweke kwenye kundi la misukule tafadhali.
 
Kwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)
Bonge la point
 
Unaposema wamekosa mvuto unamaanisha nini..kwamba Powerbreakfast ya sasa hivi hakuna kitu??,,..

Na iweje sasa Clouds wazidiwe na redio uliyosema mwenyewe kuwa yenyewe ni muziki mwanzo mwisho??..Clouds ni muunganiko wa vitu vingi News,Sports,Community issues,Lifestyle na mengineyo mengi..So unapokuwa unacompare vitu uwe unaangalia na comparing factors
Kwanza kabisa JK hajasema fiesta itafanyika east africa kasema wataandaa biggest talent search east africa (Hii kitu itafeli kenya na uganda).
.
Kingine kazungumzia kuendelea kudominate soko la televisheni tanzania kwa miaka 20 ijayo (Hii kitu ni ndoto clouds sio BBC news).
.
Clouds imepoteza mvuto kabisa kwa sasa ubunifu wao ni analog kwa sasa, wasafi ata take over upande wa burudani 100% ndani ya miaka mitatu ijayo.(wasafi ni burudani tu hakuna taarifa ya habari wala vipindi vya watoto).
.
Mwisho. Clouds wakiandaa show siku moja na wasafi nairobi, dsm, kampala ama kigali wasafi wanabeba watu wote.(Rwanda hawamjui whozu maua sama hawajui nyimbo zake hawana msanii mwenye ushawishi nje ya TZ kwa sasa zaidi ya kiba)
 
Jamani niko hapa nasikiliza clouds duuh! Mambo ni motoo

Hao wasafi watasubiri

Fiesta dar/East Africa is back

Kama na wewe unasikiliza/ulisikiliza achia comment yako like muhimu

Hii ni kwa mashabiki wa clouds...

Karibuni!
Kinachokusumbua ni kutojua kuwa nguvu iliyoko nyuma ya clouds ndio iliyo nyuma ya wasafi radio & tv
 
Inabidi clouds wajipange upya ili waendane na ushindani ila kwa sasa watu wamehamia wasafi, na e fm
 
Unaposema wamekosa mvuto unamaanisha nini..kwamba Powerbreakfast ya sasa hivi hakuna kitu??,,..

Na iweje sasa Clouds wazidiwe na redio uliyosema mwenyewe kuwa yenyewe ni muziki mwanzo mwisho??..Clouds ni muunganiko wa vitu vingi News,Sports,Community issues,Lifestyle na mengineyo mengi..So unapokuwa unacompare vitu uwe unaangalia na comparing factors

Watu wanatembea na Mapungufu ya Clouds.... WasafiTV inavutia kuitizama kivipind kuliko Clouds Tv...
 
Jamani niko hapa nasikiliza clouds duuh! Mambo ni motoo 🔥🔥🔥🔥

Hao wasafi watasubiri

Fiesta dar/East Africa is back

Kama na wewe unasikiliza/ulisikiliza achia comment yako like muhimu

Hii ni kwa mashabiki wa clouds...

Karibuni!
Wasafi Festival jumamosi wapo Mombasa baada ya hapo wataingia jijini Nairobi! embu nambie huko kenya wanamziki gani wa Tanzania wanakubalika kule?
 
Unaposema wamekosa mvuto unamaanisha nini..kwamba Powerbreakfast ya sasa hivi hakuna kitu??,,..

Na iweje sasa Clouds wazidiwe na redio uliyosema mwenyewe kuwa yenyewe ni muziki mwanzo mwisho??..Clouds ni muunganiko wa vitu vingi News,Sports,Community issues,Lifestyle na mengineyo mengi..So unapokuwa unacompare vitu uwe unaangalia na comparing factors
Umekurupuka kuni_Qoute sijaringanisha radio mimi.
 
Bonge la point

Utabeza sana but ukweli clouds media ndio muongozo wa media nyingi hususani broadcasting industry. Kila radio inayoanzishwa mnasema ndio mwisho wa clouds radio lakin yenyewe yazidi kupaa.

Ifike mahala wabongo tuache chuki na tujenge kuliko kubomoa.
 
Back
Top Bottom