mimi_wewe
Member
- Jul 27, 2014
- 70
- 17
Ni maika mingi nimeacha kuangalia comed za tv baada ya orgina comed kupoteza umaarufu na nilikimis sana kipindi cha mambo na vijambo cha chenel 5 miaka takriban mitatu iliyopita,
Nilikua mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa hawa waigizaji na watunzi wa hii comedi
ASANTENI SANA EATV KWA kuirudisha MAMBO na vijambo!!
Nilikua mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa hawa waigizaji na watunzi wa hii comedi
ASANTENI SANA EATV KWA kuirudisha MAMBO na vijambo!!