Mambo muhimu ya kuzingatia unapofanya kazi katika kampuni inayomilikiwa na Waarabu

smarte_r

JF-Expert Member
Nov 8, 2013
4,538
11,868
Tahadhari: kama umejiajiri au upo chuo na hufikirii siku moja kuja kuajiriwa, bandiko hili halikufai. "pita hivi".

Kama umeajiriwa au unafikiria kuja kuajiriwa siku sijazo, bandiko hili litakusaudia kukupa mwanga na uzoefu zaidi. karibu.

Moja ya jamii ambayo imebarikiwa katika suala la kumiliki mali hapa duniani, ni waarabu. bisha, kataa ila huo ndio ukweli.

Sihitaji kutaja makampuni makubwa ambayo waarabu wanayamiliki. fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe.

Waarabu ni jamii inayoamini katika ujasiriamali na uwekezaji. wamewekeza katika kila sector ikiwemo zile zinazohitaji nguvu kazi kubwa. wapo kwenye sector ya viwanda, transport, hospitality, media nk.

Katika maisha yangu ya utafutaji, niliwahi kufanya kazi katika kampuni moja kubwa nchini inayomilikiwa na tajiri mwarabu. haya ndio niliyojifunza kuhusu jamii hii.

Kampuni zao hazifati mifumo rasmi ya kiutawala(poor management structure)
hawaamini katika supervisor mmoja anayeyeweza kusimamia majukumu yote. idara moja inaweza kuwekewa wakuu watatu au zaidi na wote wanatimiza majukumu yanayofanana. kiutendaji hii inaweza kupelekea ucheleweshaji wa kufanya maamuzi kwasababu ya mgongano wa kimawazo au kimaslahi wa baina ya wakuu wa idara.

Hawazingatii sana kiwango chako cha elimu bali unyenyekevu wako(loyalty).
hiyo degree au masters yako sio kitu kwenye kampuni za waarabu. Usiwaletee kiburi kisa wewe ni msomi sana au una perform vizuri katika eneo lako la kazi . hawababaishwi na hicho cheti chako.

Watakupiga chini faster na kuajiri mwingine. kuwa loyal kwa mkuu wako hata kama umemzidi elimu na efficiency.

Usiweke wazi masuala yako ya starehe hususani unywaji wa pombe.
moja ya kitu haramu kwa waarabu ni pombe. kama unakunywa basi hakikisha unakunywa kwa tahadhali kuepuka machawa wa boss wasijue mienendo yako ya starehe. mwarabu anaweza kukufukuza kazi kisa tu kafikishiwa taarifa kuwa wewe ni mlevi.

Wana entertain sana unafiki.
wanamlolongo mkubwa wa machawa wanaowatumia kuwapa taarifa mbalimbali.
anaweza akakuteua uwe msimamizi mkuu lakini mwisho wa siku akawa anamtumia mfagizi kupata baadhi ya taarifa za kampuni.

Hawazingatii viwango maalumu vya mishahara
katika kampuni za waarabu kila mtu ana kiwango chake cha mshahara kutegemea na vile ameingiaje katika kampuni hiyo. kama uliletwa na mmoja wa senior officers wa kampuni, HR atakuuliza unataka tukulipe shilingi ngapi kwa mwezi au atakujazia kiwango kizuri cha mshahara kwenye mkataba wako. kinyume na hapo itabidi ukubali kiwango chochote hata kama kitakuwa hakikidhi mahitaji yako.

Wanalipa mishahara mizuri na kwa wakati
kwa kiasi fulani jamii hii inajitahidi kuwalipa vizuri wafanyakazi wake. kampuni ambayo nilikuwa nafanyia kazi nilikuwa nalipwa vizuri na kwa wakati. ila ilikuwa ni mara chache sana kulipwa mshahara siku za weekend. mpaka leo sijajua ni kwanini. tarehe ya kulipwa mshahara ikidondokea ijumaa, jumamosi au jumapili hesabu maumivu. mshahara kwenye account yako utawekwa jumatatu.

Kiimani ijumaa ni siku muhimu sana kwa waarabu,iheshimu
kuna msemo unasema "when in rome, do as the romans do". huu usemi una maana kubwa sana unapofanya kazi kwenye kampuni za waarabu. ijumaa ni siku takatifu kwa kwao,vaa mavazi ya staha uwapo eneo lako la kazi. kama wanavaa kanzu na sundals na wewe vaa kama wao.hutopata hasara yoyote kwa kufanya hivyo.

NB: Kuajiriwa kwa mda mrefu ni utumwa, pambana ili mwisho wa siku ujiajiri na utengeneze ajira kwa wengine
 
Mwarabu na muhindi hutaka loyality na uaminifu Kwanza kuliko kitu kingine chochote

Pili akikuajiri anataka u behave Kama mwana familia ukitumwa kazi yeyote fanya usiseme sikuajiriwa kufanya hiyo hujisikia vibaya .Mfano wewe unakaa uswahilini kwenye nyanya bei nafuu waweza tumwa kuwa ehhh juma meneja nenda kanunue nyanya kule kwenu pelekea mke wangu nyumbani.Chukua hii pesa ya fungu mbili panda daladala peleka haraka mama piga simu subiri nyanya yeye
 
tahadhari: kama umejiajiri au upo chuo na hufikirii siku moja kuja kuajiriwa, bandiko hili halikufai. "pita hivi".

kama umeajiriwa au unafikiria kuja kuajiriwa siku sijazo, bandiko hili litakusaudia kukupa mwanga na uzoefu zaidi. karibu.

moja ya jamii ambayo imebarikiwa katika suala la kumiliki mali hapa duniani, ni waarabu. bisha, kataa ila huo ndio ukweli.

sihitaji kutaja makampuni makubwa ambayo waarabu wanayamiliki. fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe.


NB: Kuajiriwa kwa mda mrefu ni utumwa, pambana ili mwisho wa siku ujiajiri na utengeneza ajira kwa wengine
Hapo kwenye NB sikubaliani na wewe sana,inategemea umeajiriwa wapi sheikh,BOT,TRA,TCC,Vodacom,Mgodini,Tazama,NMB,HTT, huko hata ukikaa miaka 30!!hakuna atakaye kulaumu sio kwa mshahara ule na masurufu.
Unafikri kwanini Mfugale alikaa utumishi wa umma mpaka anafikisha miaka 70!!!
 
Mwarabu na muhindi hutaka loyality na uaminifu Kwanza kuliko kitu kingine chochote

Pili akikuajiri anataka u behave Kama mwana familia ukitumwa kazi yeyote fanya usiseme sikuajiriwa kufanya hiyo hujisikia vibaya .Mfano wewe unakaa uswahilini kwenye nyanya bei nafuu waweza tumwa kuwa ehhh juma meneja nenda kanunue nyanya kule kwenu pelekea mke wangu nyumbani.Chukua hii pesa ya fungu mbili panda daladala peleka haraka mama piga simu subiri nyanya yeye
uyu alikataa kufata vitumbua vya boss wake
 
Mwarabu na muhindi hutaka loyality na uaminifu Kwanza kuliko kitu kingine chochote

Pili akikuajiri anataka u behave Kama mwana familia ukitumwa kazi yeyote fanya usiseme sikuajiriwa kufanya hiyo hujisikia vibaya .Mfano wewe unakaa uswahilini kwenye nyanya bei nafuu waweza tumwa kuwa ehhh juma meneja nenda kanunue nyanya kule kwenu pelekea mke wangu nyumbani.Chukua hii pesa ya fungu mbili panda daladala peleka haraka mama piga simu subiri nyanya yeye
kampuni ambayo mimi nilikuwa nafanyia kazi sikuwahi kuliona hilo. ila nilicho notice, wale vijana wanaofanya uchawa kwa boss sometimes nilikuwa naona anawatumia mpaka kwenye masuala yake binafsi ya kifamilia.
 
Hapo kwenye NB sikubaliani na wewe sana,inategemea umeajiriwa wapi sheikh,BOT,TRA,TCC,Vodacom,Mgodini,Tazama,NMB,HTT, huko hata ukikaa miaka 30!!hakuna atakaye kulaumu sio kwa mshahara ule na masurufu.
Unafikri kwanini Mfugale alikaa utumishi wa umma mpaka anafikisha miaka 70!!!

tunatofautiana uelewa. asante kwa maoni yako ndg.
 
Tahadhari: kama umejiajiri au upo chuo na hufikirii siku moja kuja kuajiriwa, bandiko hili halikufai. "pita hivi".

Kama umeajiriwa au unafikiria kuja kuajiriwa siku sijazo, bandiko hili litakusaudia kukupa mwanga na uzoefu zaidi. karibu.

Moja ya jamii ambayo imebarikiwa katika suala la kumiliki mali hapa duniani, ni waarabu. bisha, kataa ila huo ndio ukweli.

Sihitaji kutaja makampuni makubwa ambayo waarabu wanayamiliki. fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe.

Waarabu ni jamii inayoamini katika ujasiriamali na uwekezaji. wamewekeza katika kila sector ikiwemo zile zinazohitaji nguvu kazi kubwa. wapo kwenye sector ya viwanda, transport, hospitality, media nk.

Katika maisha yangu ya utafutaji, niliwahi kufanya kazi katika kampuni moja kubwa nchini inayomilikiwa na tajiri mwarabu. haya ndio niliyojifunza kuhusu jamii hii.

Kampuni zao hazifati mifumo rasmi ya kiutawala(poor management structure)
hawaamini katika supervisor mmoja anayeyeweza kusimamia majukumu yote. idara moja inaweza kuwekewa wakuu watatu au zaidi na wote wanatimiza majukumu yanayofanana. kiutendaji hii inaweza kupelekea ucheleweshaji wa kufanya maay kwasababu ya mgongano wa kimawazo na kimaslahi wa wakuu wa idara.

Hawazingatii sana kiwango chako cha elimu bali unyenyekevu wako(loyalty).
hiyo degree au masters yako sio kitu kwenye kampuni za waarabu. Usiwaletee kiburi kisa wewe ni msomi sana au una perform vizuri katika eneo lako la kazi . hawababaishwi na hicho cheti chako.

Watakupiga chini faster na kuajiri mwingine. kuwa loyal kwa mkuu wako hata kama umemzidi elimu na efficiency.

Usiweke wazi masuala yako ya starehe hususani ulevi.
moja ya kitu haramu kwa waarabu ni pombe. kama unakunywa basi hakikisha unakunywa kwa tahadhali kuepuka machawa wa boss wasijue mienendo yako ya starehe. mwarabu anaweza kukufukuza kazi kisa tu kafikishiwa taarifa kuwa wewe ni mlevi.

Wana entertain sana unafiki.
wanamlolongo mkubwa wa machawa wanaowatumia kuwapa taarifa mbalimbali.
anaweza akakuteua uwe msimamizi mkuu lakini mwisho wa siku akawa anamtumia mfagizi kupata baadhi ya taarifa za kampuni.

Hawazingatii viwango maalumu vya mishahara
katika kampuni za waarabu kila mtu ana kiwango chake cha mshahara kutegemea na vile ameingiaje katika kampuni hiyo. kama uliletwa na mmoja wa senior officers wa kampuni, HR atakuuliza unataka tukulipe shilingi ngapi kwa mwezi au atakujazia kiwango kizuri cha mshahara kwenye mkataba wako. kinyume na hapo itabidi ukubali kiwango chochote hata kama kitakuwa hakikidhi mahitaji yako.

Wanalipa mishahara mizuri na kwa wakati
kwa kiasi fulani jamii hii inajitahidi kuwalipa vizuri wafanyakazi wake. kampuni ambayo nilikuwa nafanyia kazi nilikuwa nalipwa vizuri na kwa wakati. ila ilikuwa ni mara chache sana kulipwa mshahara siku za weekend. mpaka leo sijajua ni kwanini. tarehe ya kulipwa mshahara ikidondokea ijumaa, jumamosi au jumapili hesabu maumivu. mshahara kwenye account yako utawekwa jumatatu.

Kiimani ijumaa ni siku muhimu sana kwa waarabu,iheshimu
kuna msemo unasema "when in rome, do as the romans do". huu usemi una maana kubwa sana unapofanya kazi kwenye kampuni za waarabu. ijumaa ni siku takatifu kwa kwao,vaa mavazi ya staha uwapo eneo lako la kazi. kama wanavaa kanzu na sundals na wewe vaa kama wao.hutopata hasara yoyote kwa kufanya hivyo.

NB: Kuajiriwa kwa mda mrefu ni utumwa, pambana ili mwisho wa siku ujiajiri na utengeneza ajira kwa wengine
Kujiajiri sio kwepesi kama watu wanavyodhani, kuna hitaji msuli wa akili na mwili kwa pamoja. Dunia ina ushindani wa wazi na wa gizani.
 
Hapo kwenye NB sikubaliani na wewe sana,inategemea umeajiriwa wapi sheikh,BOT,TRA,TCC,Vodacom,Mgodini,Tazama,NMB,HTT, huko hata ukikaa miaka 30!!hakuna atakaye kulaumu sio kwa mshahara ule na masurufu.
Unafikri kwanini Mfugale alikaa utumishi wa umma mpaka anafikisha miaka 70!!!

ni kwelu kabisa, kama una confidence na taaluma iliyokupa ajira na ni marketable kwenye soko la ajira una uwezo wa kukunja net pay ya kuanzia 6m kwa mwezi...unakomaa tu hadi kifo..

Biashara nayo kipaji...sio kipaji kwa kila mtu...
 
Kwa hiyo katika tafiti yako umetumia kampuni moja ya waarabu kufikia conclusion juu ya waarabu wote nchini?
 
Back
Top Bottom