fundi msati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 219
- 92
HABARI wana jamvi
Mwenzenu naomba mnipe ushauri kwa wale ambao wanafahamu nimepewa mualiko na taasisis fulani ya fedha kwaajili ya iftari ya pamoja. Hasa kiukweli haijawai kunitokea hilosuala asa naomba kwa anaejua vitu gani muhimu ambavyo napaswa kujiandaa navyo au napeleka tumbo tu na kusepa zangu?
Au inakuwaje kuwaje hapo
Mwenzenu naomba mnipe ushauri kwa wale ambao wanafahamu nimepewa mualiko na taasisis fulani ya fedha kwaajili ya iftari ya pamoja. Hasa kiukweli haijawai kunitokea hilosuala asa naomba kwa anaejua vitu gani muhimu ambavyo napaswa kujiandaa navyo au napeleka tumbo tu na kusepa zangu?
Au inakuwaje kuwaje hapo