Clinical officer ni daktari mwenye elimu ngazi ya diploma. Nina maswali nataka kujua kuhusu clinical officer
1) Je anaweza kufungua duka la madawa (Pharmacy) au mpaka awe na cheti cha mfamasia?
2) Je anatambulika kama daktari?
3) Anaweza kuajiriwa hospitali zaidi ya moja?
4) Anaweza kujiajiri kupitia fani yake?
1) Je anaweza kufungua duka la madawa (Pharmacy) au mpaka awe na cheti cha mfamasia?
2) Je anatambulika kama daktari?
3) Anaweza kuajiriwa hospitali zaidi ya moja?
4) Anaweza kujiajiri kupitia fani yake?