mbweta JF-Expert Member Dec 10, 2010 600 81 Aug 15, 2011 #1 Jana kuna dada aliinama kwenye daladala sijuh alikuwa anaokota nini huku nyuma nguo ikafunuka kucheki mkanda wa chupi umeandikwa hivo.
Jana kuna dada aliinama kwenye daladala sijuh alikuwa anaokota nini huku nyuma nguo ikafunuka kucheki mkanda wa chupi umeandikwa hivo.
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 Aug 15, 2011 #2 Ehee baada ya hapo ukafanyaje?
Che Kalizozele JF-Expert Member Jul 20, 2008 777 49 Aug 15, 2011 #3 mbweta said: Jana kuna dada aliinama kwenye daladala sijuh alikuwa anaokota nini huku nyuma nguo ikafunuka kucheki mkanda wa chupi umeandikwa hivo. Click to expand... Na weweee,swaumu ya jana itabidi ulipizie hata kama sio muislam.Ni brand ya wapi hiyo mwanangu,au haukuona ni madeni ya wapi.
mbweta said: Jana kuna dada aliinama kwenye daladala sijuh alikuwa anaokota nini huku nyuma nguo ikafunuka kucheki mkanda wa chupi umeandikwa hivo. Click to expand... Na weweee,swaumu ya jana itabidi ulipizie hata kama sio muislam.Ni brand ya wapi hiyo mwanangu,au haukuona ni madeni ya wapi.
mbweta JF-Expert Member Dec 10, 2010 600 81 Aug 15, 2011 Thread starter #4 Jason bourne said: Ehee baada ya hapo ukafanyaje? Click to expand... <br /> <br /> uzuri nimefunga ila nlitakiwa kuona kweli ni mpwitompwito au gelesha.
Jason bourne said: Ehee baada ya hapo ukafanyaje? Click to expand... <br /> <br /> uzuri nimefunga ila nlitakiwa kuona kweli ni mpwitompwito au gelesha.
Jaguar JF-Expert Member Mar 6, 2011 3,438 1,026 Aug 15, 2011 #5 Aisee kweli uli-concentrate yaani mpaka ukaweza kusoma sentensi ndefu namna hiyo.
Che Kalizozele JF-Expert Member Jul 20, 2008 777 49 Aug 15, 2011 #6 Jaguar said: Aisee kweli uli-concentrate yaani mpaka ukaweza kusoma sentensi ndefu namna hiyo. Click to expand... Umeona eeee,na hiyo nguo ilifunuka kwa muda gani au jamaa alikua anategwa sema swaumu ikamuokoa.Yaaani unaambiwa kabisa MAMBO MPWITOMPWITO.uwezi kusoma hayo maneno bila ya kujitingisha japo kidogo.
Jaguar said: Aisee kweli uli-concentrate yaani mpaka ukaweza kusoma sentensi ndefu namna hiyo. Click to expand... Umeona eeee,na hiyo nguo ilifunuka kwa muda gani au jamaa alikua anategwa sema swaumu ikamuokoa.Yaaani unaambiwa kabisa MAMBO MPWITOMPWITO.uwezi kusoma hayo maneno bila ya kujitingisha japo kidogo.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,895 Aug 15, 2011 #7 redio tanzania dsm enzi hizoooooooooo
Jeji JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,975 371 Aug 15, 2011 #8 lakini mambo yenyewe kweli ilikuwa mpwitompwito??????????????
J JACADUOGO2. JF-Expert Member Dec 13, 2010 930 217 Aug 15, 2011 #9 Mambo mpwito mpwito? Duh! Ulijisikiaje baada ya kusoma?