SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
Wana Jf
Yafuatayo ni mambo makubwa matano kutokea baada ya 25 Oct;
-Kambi imara ya upinzani chini ya ZZK,SLAA NA LIPUMBA Kuasisiwa
-Historia ya Mwanasiasa mashuhuri ENL kufananishwa na AUGUSTINO E MREMA
-Chama cha CUF ndio basi tena.
-Mikakati kabambe ya kuimarisha CCM kuongezeka.
-Mpasuko mkubwa kutokea na kuiangamiza CHADEMA
Haya ni maoni yangu tu kama unachakuongeza Karibu!
Kweli nimeamini amfuataye mtu asiyeelewa mambo ama mtu mpumbavu naye si mwerevu bali ni mpumbavu.