kapulukapama
New Member
- Jul 31, 2015
- 3
- 0
Bundi kulia ni kawaida kama ndege wengine, lakini waafrika wengi ni uchuro!! nakuona unalia kibundi bundi vile
Umeandika upuuzi...kubali kataa lowassa ni raisi wako
Wana Jf
Yafuatayo ni mambo makubwa matano kutokea baada ya 25 Oct;
-Kambi imara ya upinzani chini ya ZZK,SLAA NA LIPUMBA Kuasisiwa
-Historia ya Mwanasiasa mashuhuri ENL kufananishwa na AUGUSTINO E MREMA
-Chama cha CUF ndio basi tena.
-Mikakati kabambe ya kuimarisha CCM kuongezeka.
-Mpasuko mkubwa kutokea na kuiangamiza CHADEMA
Haya ni maoni yangu tu kama unachakuongeza Karibu!
Wana Jf
Yafuatayo ni mambo makubwa matano kutokea baada ya 25 Oct;
-Kambi imara ya upinzani chini ya ZZK,SLAA NA LIPUMBA Kuasisiwa
-Historia ya Mwanasiasa mashuhuri ENL kufananishwa na AUGUSTINO E MREMA
-Chama cha CUF ndio basi tena.
-Mikakati kabambe ya kuimarisha CCM kuongezeka.
-Mpasuko mkubwa kutokea na kuiangamiza CHADEMA
Haya ni maoni yangu tu kama unachakuongeza Karibu!
zzk,slaa na lipumba watajiunga na sisiemu kutengeneza kambi imara ya upinzani
historia ya mwanasiasa mashuhuri Enl kufananishwa na mohamed buhari wa nigeria
Wana Jf
Yafuatayo ni mambo makubwa matano kutokea baada ya 25 Oct;
-Kambi imara ya upinzani chini ya ZZK,SLAA NA LIPUMBA Kuasisiwa
-Historia ya Mwanasiasa mashuhuri ENL kufananishwa na AUGUSTINO E MREMA
-Chama cha CUF ndio basi tena.
-Mikakati kabambe ya kuimarisha CCM kuongezeka.
-Mpasuko mkubwa kutokea na kuiangamiza CHADEMA
Haya ni maoni yangu tu kama unachakuongeza Karibu!