Mambo madogo yavunjayo ndoa

Facha Don

JF-Expert Member
Oct 27, 2016
345
317
MAMBO MADOGO YAVUNJAYO NDOA.
Mahusiano yetu hasa ya karne hii yamekuwa na changamoto nyingi sana na kila mtu ni shuhuda katika hili na huvunjika kila siku kukicha ni mambo madogo madogo tu huchangia kuvunjika kwa mahusiano yetu na si kingine yafuatayo ni mambo madogo madogo ambayo mwanamke/mwanaume anashindwa kumwambia mwenzake abadilike na mwishowe hupelekea mpk mahusiano kuvunjika.

1. Ulevi
2. Umbea
3. Pedi chafu kutupa uvunguni
4. Umaskini
5. Uvivu
6. Ulafi
7. Wizi
8. Kujamba mbele ya mpenzi wako
9. Kunya(kujisaidia) bila kufunga mlango (self room)
10. Ubahili
11. Kunuka ....(boxer)
12. Kunuka kwapa
13. Kuacha manywele kwenye chanuo la mme
14. Ubishi
15. Uongo
16. Uzurulaji
17. Upagani
18. Kuchati kupita kiasi.
19. Uvaaji wa kihuni
20. Ushabiki wa mpira ulopitiliza
21. Kukaakaa uchi pasipo sababu
22. Kutokujali
23. Pafyumu mbaya
24. Msongamano wa watu kuliko ukubwa wa nyumba.
25. Gubu
26. Ushamba ulopitiliza
27. Majibu ya mkato
28. Ubize usio na maana
29. Umaarufu wa kijinga
30. Kusifia watu wengine.
31.Kujisikia kupita kiasi.
32. Uongeaji mwingi bila kikomo.
33. Uchafu wa mwili na mazingira.
34. Kusafirisafiri bila umuhimu.
35.Kushindwa kuzingatia bajeti.
 
MAMBO MADOGO YAVUNJAYO NDOA.
Mahusiano yetu hasa ya karne hii yamekuwa na changamoto nyingi sana na kila mtu ni shuhuda katika hili na huvunjika kila siku kukicha ni mambo madogo madogo tu huchangia kuvunjika kwa mahusiano yetu na si kingine yafuatayo ni mambo madogo madogo ambayo mwanamke/mwanaume anashindwa kumwambia mwenzake abadilike na mwishowe hupelekea mpk mahusiano kuvunjika.

1. Ulevi
2. Umbea
3. Pedi chafu kutupa uvunguni
4. Umaskini
5. Uvivu
6. Ulafi
7. Wizi
8. Kujamba mbele ya mpenzi wako
9. Kunya(kujisaidia) bila kufunga mlango (self room)
10. Ubahili
11. Kunuka ....(boxer)
12. Kunuka kwapa
13. Kuacha manywele kwenye chanuo la mme
14. Ubishi
15. Uongo
16. Uzurulaji
17. Upagani
18. Kuchati kupita kiasi.
19. Uvaaji wa kihuni
20. Ushabiki wa mpira ulopitiliza
21. Kukaakaa uchi pasipo sababu
22. Kutokujali
23. Pafyumu mbaya
24. Msongamano wa watu kuliko ukubwa wa nyumba.
25. Gubu
26. Ushamba ulopitiliza
27. Majibu ya mkato
28. Ubize usio na maana
29. Umaarufu wa kijinga
30. Kusifia watu wengine.
31.Kujisikia kupita kiasi.
32. Uongeaji mwingi bila kikomo.
33. Uchafu wa mwili na mazingira.
34. Kusafirisafiri bila umuhimu.
35.Kushindwa kuzingatia bajeti.
Hang'over ya tarehe 1/1/2017 bado inakuendesha,,,,!
 
Sasa hiyo namba 4 (umaskini) linaweza kuwa solved kwa kumwambia mwenza wako abadilike? How? Nadhani hapo jitihada za pamoja zinahitajika sio swala la kuambiana.

Ila ndoa mtihani jaman, yan kwa hali ya kibinadamu huwez kosa mambo kadhaa kati ya hayo 35, labda uwe na chembechembe za umalaika.

Kikubwa ni kuelewa kua mwenza wako sio perfect kama ambavyo wewe sio perfect, so tuchukuliane madhaifu yetu na kusameheana.

Nadhani kuna moja la muhimu kabisa umelisahau from the list;

36. Kukosa uaminifu/kutoka nje ya ndoa
 
Hapo namba 8 umenigusa. nlipata demu kitambo kila muda anajamba jamba tu. kuja kumchunguza nikagundua 0713 watu washaharibu, Ndo ikawa hatma ya penzi letu.
 
Sasa hiyo namba 4 (umaskini) linaweza kuwa solved kwa kumwambia mwenza wako abadilike? How? Nadhani hapo jitihada za pamoja zinahitajika sio swala la kuambiana.

Ila ndoa mtihani jaman, yan kwa hali ya kibinadamu huwez kosa mambo kadhaa kati ya hayo 35, labda uwe na chembechembe za umalaika.

Kikubwa ni kuelewa kua mwenza wako sio perfect kama ambavyo wewe sio perfect, so tuchukuliane madhaifu yetu na kusameheana.

Nadhani kuna moja la muhimu kabisa umelisahau from the list;

36. Kukosa uaminifu/kutoka nje ya ndoa
Thanxx Grener
 
MAMBO MADOGO YAVUNJAYO NDOA.
Mahusiano yetu hasa ya karne hii yamekuwa na changamoto nyingi sana na kila mtu ni shuhuda katika hili na huvunjika kila siku kukicha ni mambo madogo madogo tu huchangia kuvunjika kwa mahusiano yetu na si kingine yafuatayo ni mambo madogo madogo ambayo mwanamke/mwanaume anashindwa kumwambia mwenzake abadilike na mwishowe hupelekea mpk mahusiano kuvunjika.

1. Ulevi
2. Umbea
3. Pedi chafu kutupa uvunguni
4. Umaskini
5. Uvivu
6. Ulafi
7. Wizi
8. Kujamba mbele ya mpenzi wako
9. Kunya(kujisaidia) bila kufunga mlango (self room)
10. Ubahili
11. Kunuka ....(boxer)
12. Kunuka kwapa
13. Kuacha manywele kwenye chanuo la mme
14. Ubishi
15. Uongo
16. Uzurulaji
17. Upagani
18. Kuchati kupita kiasi.
19. Uvaaji wa kihuni
20. Ushabiki wa mpira ulopitiliza
21. Kukaakaa uchi pasipo sababu
22. Kutokujali
23. Pafyumu mbaya
24. Msongamano wa watu kuliko ukubwa wa nyumba.
25. Gubu
26. Ushamba ulopitiliza
27. Majibu ya mkato
28. Ubize usio na maana
29. Umaarufu wa kijinga
30. Kusifia watu wengine.
31.Kujisikia kupita kiasi.
32. Uongeaji mwingi bila kikomo.
33. Uchafu wa mwili na mazingira.
34. Kusafirisafiri bila umuhimu.
35.Kushindwa kuzingatia bajeti.
itakuwa wote watoto nyie, hizo kama ndio zingekuwa sababu za kuvunja ndoa me ningeishi miaka mia na mke wangu
 
Back
Top Bottom