tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, amesema akichaguliwa kuwa mbunge ndani ya siku mia moja atahakikisha wakinamama wa jimbo hilo wanapata mikopo ili kuwainua kiuchumi.
Agnesta ametoa ahadi hiyo alipokuwa akiongea na wakazi wa kata ya Bonyokwa ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni kuomba ridhaa ya wakazi wa jimbo hilo kumchagua kuwawakilisha bungeni.
Soma pia: Jimbo la Segerea Dar es salaam tunaelekea kudanganywa tena Oktoba 2025 kwenye Ubunge
Agnesta ametoa ahadi hiyo alipokuwa akiongea na wakazi wa kata ya Bonyokwa ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni kuomba ridhaa ya wakazi wa jimbo hilo kumchagua kuwawakilisha bungeni.
Soma pia: Jimbo la Segerea Dar es salaam tunaelekea kudanganywa tena Oktoba 2025 kwenye Ubunge