screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,916
- 15,974
Uchaguzi huu umekumbwa na matukio mengi ya kustaajabisha kiasi kwamba yanaweza kukuacha mdomo wazi, haya ni baadhi ya mambo ambayo binafsi yamenishangaza sana;
1. Mama Anna Tibaijuka kuchaguliwa tena ubunge na wana Muleba
2. Wenje na Kafulila kukosa ubunge
3. Tume ya Zanzibar kulalamika uchaguzi haukua huru na wa haki (badala ya wagombea)
4. January Makamba kushangazwa na kinachoendelea Zanzibar
5. 'MAKAMANDA' wa CHADEMA kumkaribisha Lowasa kwenye chama chao na kumnadi kama mgombea wao wa urais (mtu waliyetuaminisha kwamba ni Fisadi Kwa miaka 8)
6. Wakazi wa Mwanza kudeki lami ili Lowassa apite ila cha ajabu kwenye sanduku la kura wamemuangusha na kumpa kura nyingi Magufuli
7. CHADEMA kumuona Lowasa kama mkombozi wao na Dr. Slaa kuitwa msaliti
8. Mgombea Maalim Seif kujitangazia matokeo kana kwamba yeye ni tume
9. Mbatia kutumia mda mwingi kuisemea UKAWA na CHADEMA kuliko chama chake
10. CCM 'chama dola' kulalamika kwamba kuna majimbo manne wameonewa
1. Mama Anna Tibaijuka kuchaguliwa tena ubunge na wana Muleba
2. Wenje na Kafulila kukosa ubunge
3. Tume ya Zanzibar kulalamika uchaguzi haukua huru na wa haki (badala ya wagombea)
4. January Makamba kushangazwa na kinachoendelea Zanzibar
5. 'MAKAMANDA' wa CHADEMA kumkaribisha Lowasa kwenye chama chao na kumnadi kama mgombea wao wa urais (mtu waliyetuaminisha kwamba ni Fisadi Kwa miaka 8)
6. Wakazi wa Mwanza kudeki lami ili Lowassa apite ila cha ajabu kwenye sanduku la kura wamemuangusha na kumpa kura nyingi Magufuli
7. CHADEMA kumuona Lowasa kama mkombozi wao na Dr. Slaa kuitwa msaliti
8. Mgombea Maalim Seif kujitangazia matokeo kana kwamba yeye ni tume
9. Mbatia kutumia mda mwingi kuisemea UKAWA na CHADEMA kuliko chama chake
10. CCM 'chama dola' kulalamika kwamba kuna majimbo manne wameonewa