lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
unanifanya nijione very old fashioned
wa kwangu nawapa bila vita....wala ugomvi lol
Kama ni kweli, BIG UP!!!!
unanifanya nijione very old fashioned
wa kwangu nawapa bila vita....wala ugomvi lol
sasa kwani mtu anakuwa amedhamiria jamani!si inakuja tu otomatekale?fart sio nzuri,hiyo sio nzuri!elimu nzuri umetupa tutafanyia kazi.
lara 1 nimejikuta nacheka tu na hili,sasa we huwa unachukua chako mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
sasa kwani mtu anakuwa amedhamiria jamani!si inakuja tu otomatekale?
Katikati ya game naomba muongozo kujua hela inatoka au haitoki? Na anaejibu anajua jibu lina influence kubwa jinsi gani Game itakavoisha!!! Sasa kuepusha kuishia juu ya shuka jibu ni YEEEES MAM!!!!
kama huwezi kuwa free ku fart mbele ya mpenzi wako
sijui ut fart wapi?
kwa mama mkwe?
si ndio hapo,wakati mi najua farting is one of the sign kuwa ndoa yenu imepevuka kihisia na katika kujiona kila mmja ni mwenzie!imagine tulikuwa tunapaje shida umetoka na mchumba af useme unaenda chooni?unayabana wee mpaka kidate kiishe!lakini sasa hivi akha,unashusha gogo mwenzio anaoga hapo na wala haina shida!aahhahahhahhahahhahha
veeeeery true!sijui lakini wengine wanaionaje lakini mimi kwangu naona poa sana tu!mwanamke ku fart au hata kukojoa mbele ya mpenzi wake ni very sexy...
ingawa kwa mwanaume sio pooa sana
but hupaswi kuona aibu wala kujibana bana
ni nature's call....
haya maandiko mengine ukiyafuata utaishia kuwy 'fake' kwa bed.....
Mie nakua myself, inategemea na mdundo umepigwaje, kama response ni kucheka nacheka, kama kujamba najamba, kama kulia nalia tu kasoro kudownload tu ndo sitafanya
sasa kwani mtu anakuwa amedhamiria jamani!si inakuja tu otomatekale?
haya maandiko mengine ukiyafuata utaishia kuwy 'fake' kwa bed.....
Mie nakua myself, inategemea na mdundo umepigwaje, kama response ni kucheka nacheka, kama kujamba najamba, kama kulia nalia tu kasoro kudownload tu ndo sitafanya
mwanamke ku fart au hata kukojoa mbele ya mpenzi wake ni very sexy...
ingawa kwa mwanaume sio pooa sana
but hupaswi kuona aibu wala kujibana bana
ni nature's call....
Katikati ya game naomba muongozo kujua hela inatoka au haitoki? Na anaejibu anajua jibu lina influence kubwa jinsi gani Game itakavoisha!!! Sasa kuepusha kuishia juu ya shuka jibu ni YEEEES MAM!!!!
Kwenye mbinu hiyo hapo juu U GOT NO CHOICE!!!! ukininyima hiyo hela game itaishia juu ya shuka
Mmmh Lara1!! Mi napita tu!!!
teh teh teh! Nimesimama!simama kwa ukaguzi