mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,432
Kama ina uwezo wote huo basi ni sumu kwa kusafishia meno, nawaza tu.Yatambue mambo kumi ambayo unaweza kufanya na Dawa ya mswaki tofauti na kupiga mswaki tuu.
hii itakupa msaada na tips za usafi hapo home, ofisin au shuleni
na ndio maana unashauriwa usimezeKama ina uwezo wote huo basi ni sumu kwa kusafishia meno, nawaza tu.
Hii imesahaulika, inatibu pia fangasi wale wa miguuni...
Dawa ya mswaki hatari sanaInatibu pia hata vijipu vinvyoanza kutokeza, paka asubuhi na jioni, vitasambaratika kabisa. Nimetumia na imefanya kweli.
yeaDawa ya meno
unasafishaje mkuu?bila maji au?Kweli kabisa pia inasafisha pasi zilizoungua baada ya kuchoma nguo.
tumia dawa ya meno ambayo ni non Gel, na mswaki au sponchi gumu kidogo. sugua taratibu kuzunguka eneo lilivozunguka kama unavofanya na paracetamolunasafishaje mkuu?bila maji au?
Dah! Kweli hiyo mpaka ujitoe ufahamuUkijitoa ufahamu unaweza kupigia punyeto.
Hii ilikua boarding.
HAhahahaha hata saivi waeza tu kupigia kuna kama whitedent Gel laini kabisa kama LubeUkijitoa ufahamu unaweza kupigia punyeto.
Hii ilikua boarding.
Kushawishiana mimi sipendi bwanaHAhahahaha hata saivi waeza tu kupigia kuna kama whitedent Gel laini kabisa kama Lube
Ukimeza dawa ya meno hata kama ulikuwa umeshiba namna lazima upate njaa ndani ya dakika 5 hadi 10.na ndio maana unashauriwa usimeze
Acha kucheza na afya za watuUkimeza dawa ya meno hata kama ulikuwa umeshiba namna lazima upate njaa ndani ya dakika 5 hadi 10.
Pia husaidia kuondoa vile vitambi vya wanawake ndani ya mwezi mmoja tu.