Mambo 10 niliyoyaona leo Al Ahly vs Yanga

1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Naunga mkono hoja
 
1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Ugonjwa wako wa kuharisha kama kawaida.
 
1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Kwahiyo haya ni mambo 10 ama 15?
Hii inaonyesha kua Yanga inakupagawisha kiasi kwamba haujui kua huu ni mchana ama usiku?
 
1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Nilishasema mangungu anafuga kondoo wengi sana pale ukoloni, na akili za kondoo Kila mtu anazijua zilivyo ndio hizi Sasa, Kama mashabiki na wanachama ndio awa kwanini kina mangungu wasifanye wanachokitaka!
 
Kwa lile nililotaka kuandika ningeandika basi ningekuwa banned kwa mara ya kwanza.

Upunguze ujinga, Yanga imecheza na team ngapi hadi kufika hapo?
 
1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Mbumbumbu FC leo hamtoboi na timu imeuzwa hamjui
 
1. Kama sio Rais wa Yanga kwenda kuimarisha mahusiano na Al Ahly leo wangekula 10

2. Timu inategemea sana mganga kuliko uwezo wa kocha.

3. Kama sio kuongea na washika vibendera leo Taifa lingeingia aibu.

4. Gwede amedhihirisha kuwa pale Taifa alisaidiwa sana na nguvu za giza.

5. Ingekuwa Al Ahly wanataka kuidhalilisha nchi leo ingekuwa zahma.

6. Pacome Zuzu ni zuzu hasa sio masihara.

7. Uchawi hauvuki maji, uwezo hamna

8. Al Ahly wamechezesha nusu kikoc cha kwanza nusu cha pili, Kipa wao na Ali Dieng hawakuwepo leo na yule beki wao wa kulia

9. Mganga anaheshimika sana Avic Town kuliko kocha.

10. Gamondi asijifu, uwezo uko kwa mganga na sio kocha.

11. Utopolo wa ugenini ni sawa na Mtibwa sugar ya ss hv

12. Mshukuruni sana mzungu pori kwa ushirikina.

13. Kiukweli Utopolo kipa wanae, wengine wote wezi tu

14. Eti hii ndio timu inayotisha hapa bongo, jamani

15. Mganga wenu oyeeeeeee
Rubbish
 
Back
Top Bottom