Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,144
Teh teh hicho kirungu kivipi mkuu ? Kwamba hajatembelea Mwananyamala ?ahsante kwa hayo machache lakin hyo namba 10 umenipga kirungu mshkaji wangu
Mkuu anafikiri haiwezekani kwa Jigger kutua mitaa ya Kwa Mama ZakariaTeh teh hicho kirungu kivipi mkuu ? Kwamba hajatembelea Mwananyamala ?
Fanta kibao hahahaNi kweli mkuu alishawahi kutua Mwananyamala, ilikuwa ni 2006 kuzindua visima, kwa udhamini wa World Bank. Tazama picha kwa makini kama huamini...
Haha ashatua sana na akapewa na shuka na rungu la kimasai ,nadhani alitembelea mitaa ya kwa mama Zakaria kwa sababu ni uswazi kama yeye alipozaliwaMkuu anafikiri haiwezekani kwa Jigger kutua mitaa ya Kwa Mama Zakaria
Na maji ya uhai hahaaaFanta kibao hahaha
Well said mkuuNakumbuka Jigga alipotua Bongo nilidanganya ofisini nahara ili nipate nafasi ya kwenda kumwona. By the way hakuja kimyakimya. Ilitangazwa. Lakini kwa kuwa haikuwa ziara ya kimuziki haikuwa na promo kubwa.
hahaaa na ukiangalia hiyo picha nyingine utamuona Idd Azzanhahahahahahah bs wakuu nimeona kitu cha koka na fanta pembeni, duuh nimeamini kwa kweli, lakin waandaaji walipuyanga sana kwa kuweka koka na fanta, hapo ilitakiwa mawine na mawisk ya kucheba. dah
ni kweli mkuu nimemuona, laiti kama ningejua hilo bs sidhani kama ningekosa hapo, i swear nisingekosa!! mabaunsa wangeniua tuhahaaa na ukiangalia hiyo picha nyingine utamuona Idd Azzan
Kwahiyo bado unakataa kuwa alikuja mwananyamala?daah unataka kunambia kwamba hyo ishu ilikamilika bila mtu yeyote wa media? mana mnasema alikuja kimya kimya? sasa inakuaje iwe hvo kwa hafla kama hyo ya kiserikali? na pia how come WB wampe dili yeye, yn anaconnection ipi na serikali ya marekani? unless mnambie kwamba aligharamia huo mradi.
11.Amechangia sana katika mafanikio ya rapper Kanye west na paka Leo Kanye na jay ni ma rafiki wa kutupa.Jina lake halisi anaitwa Shawn Carter ingawa anafahamika zaidi na mashabiki wake kwa jina la Jay Z. Ni mwanamuziki mkubwa wa Hip Hop duniani, prodyuza na mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa. Yafuatayo ni mambo 10 kumhusu mchizi huyu ambaye ni mume halali wa Beyonce Knowles:
1. Alizaliwa na kukulia uswazi kwenye mtaa wa watu weusi uitwao Marcy, Bedford nje kidogo ya Brooklyn jijini New York.
2. Katika familia yao, wamezaliwa wanne na walilelewa na mama yao, Gloria Carter baada ya baba yao kuitelekeza familia tangu wakiwa wadogo.
3. Akiwa na umri wa miaka 12, alimpiga risasi ya bega kaka yao mkubwa kwa madai kwamba alimuibia mkufu wake.
4. Jay Z alisoma shule moja (George Westinghouse) na marapa wengine wakubwa, Notorious B.I.G. na Busta Rhymes.
5. Licha ya kufanikiwa kufika Chuo Kikuu cha Trenton Central, New Jersey, Jay Z hakumaliza masomo yake kutokana na utukutu, akaacha chuo.
6. Baada ya kuacha chuo, amewahi kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya (Cocaine) hadi alipoingia kwenye muziki.
7. Mpaka sasa, Jay Z anatajwa kuwa bado anaendelea kuvuta bangi na kutumia Cocaine.
8. Kutokana na utukutu wake na biashara ya madawa ya kulevya, Jay Z amewahi kupigwa risasi mara tatu lakini mara zote aliponea tundu la sindano.
9. Amewahi kukamatwa na kutupwa nyuma ya nondo baada ya kuanzisha fujo klabu na kumchoma kisu cha tumbo mtu mmoja aitwaye Lance Rivera.
10. Amewahi kutua Bongo kimyakimya na kwenda mpaka Mwananyamala, akiwa na mkewe, Beyonce kwenye uzinduzi wa mradi mkubwa wa visima vya maji.
Kama unayajua mengine, tupia!