Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,992
- 6,290
Unaufahamu Mkuu suala la ubaguzi uliasisiwa na huyo usiyetaka atajwe. Watu wana maumivu makubwa sana hasa Kisiasa na Kiuchumi. Raia walibaguliwa kwakuwa tu ni Wapinzani. Watu waliporwa Fedha zao kwakudhaniwa tu Wana msaada Kwa Wapinzani. Sasa mbegu hiyo imeshaota tena Kwa kasi kubwa ndani ya Chama Tawala na Serikali yake. Hakuna kuheshumiana tena. Kuna mpasuko mkubwa sana unaosababishwa na kundi fulani.Kaka mimi noana sasa hivi tuache ushabiki coz Nchi yetu bado iko kwenye transitional period vema tujenge hoja stahiki ili zije kuwa msaada wa maono ya leo na kesho. Magufuri was an individual, serikalii tulio nayo iliundwa na jpm though Kuna wateule wachache wa mama. Jpm has already died but Tanzania inaishi kwa hiyo tusideal na individuals tupembue mizizi mifumo inayolifanya taifa letu kubabi nyuma huku wengine wakisonga mbele
Kinachopaswa kufanyika hivi sasa ni kuhakikisha Katiba hii hii mbovu tulionayo inaheshimiwa. Kiongozi alioko Madarakani aongoze kwa HAKI na kufuata SHERIA za Nchi asionee mtu kwakuwa ana Madaraka. Akifanya hivyo haya mambo ya Uchama yatatoweka na hapo tutajenga Nchi yetu kwa pamoja.