Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Mtafute umuombe msamaha.
SahihiNi kweli kulea mtoto ambaye mwingine alikunya ni kazi sana..... Tena ni kazi hasa.... Ww mjengee sehemu nyingine mpe hati miliki afanyie chochote...... Ila marufuku kumwambie ahame hapo alipo..... Atakaa hapo mpaka afe.... Kule uliko mjengea mwambie hata apangishe apate pesa.... Kama ni sehemu ya kibiashara muombe ufanye tu kwenye hayo maeneo..... Sio lazima yy ahame.
Ww mwenyewe ndio uliingia chaka bovu... Ww mamaako mwenye mchango mkubwa kwenye malezi yako, unampaje sehemu ambayo baadae utaitaka bila notification ya kumpa nyumba yake huko mbeleni? Tena unashangaza kujijengea majumba bila ya kumridhisha mlezi wako kwanza. Utakuja ulogwe next time, tena nenda haraka umweke sawa psychologically, umpe ahadi kibao atulie... Kwakuwa ni mwanamke atapoa mapema na atajuA unamtetemekea
Nilimjulisha kabla mafundi hawajaanza ujenzi...pia kuhusu kumilikisha anafahamu wazi sijafanya hvy maana katika hilo eneo haipo nyumba moja hivyo mpangaji alipotoka nikamwambie akakae nimpunguzie mzigo wa kodi lakini sikumpa kuwa yakeUmefanya makosa kuto kumtaarufu kabla,masikini ya mungu labda alijua kuwa hiyo ndio zawadi yake toka kwake.Sasa ghafla anastushwa na ujio wa mafundi bila taarifa.Lazima apaniki
Hili lilikuwa jibu langu umeniwahi ....mwenzio anaona umerudisha fadhila za kulelewa, wakati unamueka hapo ungemwambia tu nakusitiri sio pako.
Lakini si umesema una apartments, mpe kama sadaka.
Atakupiga kipande huyo,chunga sanaNina mpango wa kumjengea somewhere nimepanga iwe kama suprise kama shukrani kwangu siku ya ndoa yangu. Kwa pale siwezi kumpa aisee ni eneo zuri kibiashara
Ukisoma maelezo yangu vizuri...ni kwamba simtozi hata mm na namsaidi vilevile. Kuhusu kumjengea kuna sehemu nimenunua..naanza ujenzi January mpk mwezi wa sita namkabidhi nyumba yake, ila nataka iwe surprise
mwenzio anaona umerudisha fadhila za kulelewa, wakati unamueka hapo ungemwambia tu nakusitiri sio pako.
Lakini si umesema una apartments, mpe kama sadaka.
Ni kama vile unamzungumzia mama yangu mdogo?Dah...nitakuwa sijatimiza lengo ingawa anafurah....ila kwa tabia yake nikimuonesha tu...nitakuwa najenga underpresha maana namjua hanaga jambo dogo mashoga zake wote atawapeleka akawaoneshe...anapojenga. Nitaulizwa kila siku nimefikia wapi, hao mafundi uko site hakuna rangi wataacha ona, watakavyokuwa wanabadilishiwa michoro....ila NDIO MAMA,
Umeongea point kubwa sana mkuukwa type ya huyo mama ulitakiwa umlipie Kodi sehemu nyingine na sio kukaa free kwako. KuombA radhi kwake haipingiki lakini utakua umekaribisha Mambo Fulani ndio mwanzo was kukupelekesha Kila kitu ufanye Kama anavyotaka yeye. Uamuz wwt utakaofanya cheza na akili yake
inaweza kuwa changamoto pia hasa kama anampeleka nne ya mjiOmba radhi, hiyo surprise isiwe surprise tena. Mpeleke mwambie mama hapa ndio nakujengea nyumba yako.
na akishika hela nzuri atashangaa mama atavyompambaSioni kosa hapo isipokuwa bi mkubwa itabidi umzoee tu!.. wazo lako ni zuri ila usije mnyima hata tu chenchi chenchi ndo atazidi zaidi kuteta si unajua wanawake Tena!
Ichukulie hiyo hali in a positive way.. take it as a spirit for you to fight hard until you make it.. uzuri ushajua nani anaweza simamia pesa vyema.