Watoto wa nje walikuwepo, na walikuwa wanaletwa nyumba kuu bila mnuno wa bi mkubwa, wanaishi vema tu
Sasa hivi vibeijing toka vianze kutumia neno la kizungu “ una cheat” imekuwa tabu tupu.
ila wenyewe kutubambikia mimba zisizo zetu hawajambo. Asante kwa DNA