Mama Siti hapa ni wapi Kweli?

Duuh kwahiyo mkuu mnataka mtu afurahie tu kuletewa watoto wa nje kana kwamba ni sawa? Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi either kwa mwanaume au mwanamke hilo halihusiani na ubeijing msitafute namna ya kuupamba huu uovu uonekane eti ni sawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…