Ndo maana chama chenu kinazidi kudidimia kwa sababu ya kukumbatia uongo na majungu,mama Shelukindo hawajibiki kwa chama,anawajibika kwa watanzania waliompa dhamana,hataki kuwa mmoja wa wachafu,hana udhaifu na upuuzi wa ki CCM! yatawabana sana magamba hayo!