[h=3]ALAMA ZA KISHETANI KATIKA BENDERA YA CHADEMA[/h]Kumbe kuna mikutano ya usiku kwenye mandhari ya mchana???
Kwa akili yako hiyo ni leo? Au unamaanisha Leo ipi? Hii ni siku mpya naona unaishi nyuma ya muda
Coward of the year.. Jibu swali usikimbie
Umesahau picha ya wenzao Khanga Moko Ndembendembe........
Wewe Kada mbona picha zako kama photo shop?Hizi ndiyo picha za Arumeru sasa cheki nyomii hiyo:bathbaby:
na hawa machangudoa nao wananadi sera za chama chenu? kumbe ndio maana wale pale ambiance wamepewa vibali
nyie hapo pichani na aliye posti ni wapumbavu na malofa tu!