Mwalimu Mpole, pole sana. Baba alishatoa mwongozo wakati wa mgomo wa madaktari kwamba kama unaona hiyo kazi haina maslahi uache kazi, ukamtafute mwajiri atakaye kulipa vizuri sawasawa na mahitaji yako. Ombi lako kwa mama halitasaidia maana uamuzi wa Baba ni final.