Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Hujui hata matumizi ya nukta inawekwa wapi kwenye sentensi kweli utajua alichoandika?Du umeandika. Nini. Who are you. Kipimo chako nini. Yani we chuki zako zisizo na mantiki unaweka hadharani afu unaona umeandika. Ndo mana sishangai kuna account ya kuonyesha nyeti ina followers 4mill. Hakuna uhuru katika ujinga. Haya ni maamuzi yako kutokana na hisia za kujipandikiza. Kwako matumizi ya mtandao ni kukashfu. Mmemtukana we Mstaafu. Leo unamturudia mkewe. We unajua kazii zake. Mbona we uendi Sudan sasa .we unasema uhuru afu unamchagulia mawazo. Unahisi yeye naye anaona unavyoona wewe.