ndizeye
Member
- Sep 5, 2011
- 44
- 51
Kwa hali ilivyo sasa na jinsi kiongozi mkuu anavyo lipeleka Taifa, Si jambo jema na la kheri kama Mama Salma atakanyaga bungeni. Kuingia kwake ndani ya lile Bunge atakuwa ameishusha heshima ya Mme wake mbele za watanzania.
Hebu tujiulizeni katika utawala huu mpya JPM amefanya mambo mangapi yaliyoizalilisha familia ile. Ebu tukumbukeni lile sakata la makontena bandarini, kumbukeni suala la Daudi Bashite kumtaja kijana wao kipenzi katika kashifa nzito ya madawa ya kulevya, pia kumbukeni zile siku za mwanzo kauli za mkuu wa kaya kuwa Hazna imekaushwa.
Taifa limejaa uozo, wafanyakazi hewa, malipo hewa na mambo mengi sana yamesemwa yakimlenga na kuididimiza familia na tawala ile.
KWA FIKRA ZANGU ZA KHERI NINGEFURAHI KUSIKIA MAMA YETU KIPENZI KUIKATAA NAFASI ILE KWA SABABU ASIPO ANGALIA INAWEZA KUMSABABISHIA KASHFA NZITO AMBAYO HATAIWEZA.
Ni Mawazo yangu jameni Taifa letu huru naomba tuelewane.
Hebu tujiulizeni katika utawala huu mpya JPM amefanya mambo mangapi yaliyoizalilisha familia ile. Ebu tukumbukeni lile sakata la makontena bandarini, kumbukeni suala la Daudi Bashite kumtaja kijana wao kipenzi katika kashifa nzito ya madawa ya kulevya, pia kumbukeni zile siku za mwanzo kauli za mkuu wa kaya kuwa Hazna imekaushwa.
Taifa limejaa uozo, wafanyakazi hewa, malipo hewa na mambo mengi sana yamesemwa yakimlenga na kuididimiza familia na tawala ile.
KWA FIKRA ZANGU ZA KHERI NINGEFURAHI KUSIKIA MAMA YETU KIPENZI KUIKATAA NAFASI ILE KWA SABABU ASIPO ANGALIA INAWEZA KUMSABABISHIA KASHFA NZITO AMBAYO HATAIWEZA.
Ni Mawazo yangu jameni Taifa letu huru naomba tuelewane.