Nakumbuka 2009 nikiwa natokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza na Mohamed Trans ndani ya gari nilifahamiana na mtoto wa kike wa Magufuli, alikuwa ametoka shule Ya sekondari Morogoro anarudi nyumbani. Shule ilikuwa imefungwa kwasababu chakula kilikuwa kimeisha.
Kipindi hicho nilitafakari nikaona ni maigizo makubwa haya!
Unafikiri kwa ukaksi huo na zile pushap nyumbani patakalika kweli?