Mama Regina Lowassa Leo

Mama Regina Lowassa Leo

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Huyu ndio Mama Maria wa pili....
 

Attachments

  • 1443883057153.jpg
    1443883057153.jpg
    62 KB · Views: 4,223
  • 1443883069094.jpg
    1443883069094.jpg
    79.5 KB · Views: 10,359
  • 1443883080933.jpg
    1443883080933.jpg
    87.4 KB · Views: 10,168
  • 1443883093306.jpg
    1443883093306.jpg
    89.2 KB · Views: 10,541
  • 1443883106915.jpg
    1443883106915.jpg
    82.2 KB · Views: 3,607
  • 1443883122563.jpg
    1443883122563.jpg
    80.3 KB · Views: 3,551
  • 1443883134483.jpg
    1443883134483.jpg
    69.7 KB · Views: 3,642
Mama dah hana mtoto ni peleke mahari nita toa 1b mama yangu tena nipo radhi nifanyieni connection kama ana binti wakuu atakaye fanikisha nitampa 200m maana nimegundua huyu mama amechangia mzee lowassa kuwa na busara sana bila shaka na mtoto wake atakuwa na uso wa kirafiki kama mama yake na tabia nzuri
 
Mama dah hana mtoto ni peleke mahari nita toa 1b mama yangu tena nipo radhi nifanyieni connection kama ana binti wakuu atakaye fanikisha nitampa 200m maana nimegundua huyu mama amechangia mzee lowassa kuwa na busara sana bila shaka na mtoto wake atakuwa na uso wa kirafiki kama mama yake na tabia nzuri

Huyu mama nimetokea kumpenda kama mama yangu mzazi
 
Asee Mh Raisi Lowasa atakaevikwa madaraka ya kuongoza nchi hii wiki chache zijazo aliotea kwelikweli, hiyo ndio zawadi ya mke mwema atokae kwa Mungu, yaani hata ukisema don't judge the book by cover, hapo kwa mama yetu wa Tanzania ( First Lady to be) unakua huna shaka kwamba ana enlightened soul!

Sio rahisi mtu alievulugwavulugwa kua na tabasamu lenye rutba namna hiyo, she is truly unique and special na Lowasa anatambua hilo.

Big up bi mkubwa, tunasubiri ushindi wa mzee october 25. Amen.............
 
Back
Top Bottom