afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,210
- Thread starter
- #101
kweli kabisa dearhakuna kama mama AD..BTW,, Huyu sharobaro TF anaendeleaje manake nasikia alikuwa na Bday kisha hajanambia:evil:
Hakuna kama mama..
Huyu TF wengi wanalalamika hawakualikwa
hivi alisahau vipi kukualika wewe mmmhh
Ngoja nimtafute aje kujibu..