mama na mwana

mama na mwana

QDS

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
5
Reaction score
2
Mama:ingiza haraka

Mtoto:wapi?

Mama:kwani huoni shimo? We mwanaume bwana

Mtoto:nashindwa mama

Mama:jitahidi nakutegemea

Mtoto:kumbe ni kazi hivi?

Mama:malizia kabla babayako hajaja

Mtoto:kwani akija itakuwaje

Mama:fanya haraka ingiza uzi kwenye sindano, tumalize kushona pazia, nimuandalie chakula kabla hajarudi
 
Haina mashiko.
Mama:ingiza haraka

Mtoto:wapi?

Mama:kwani huoni shimo? We mwanaume bwana

Mtoto:nashindwa mama

Mama:jitahidi nakutegemea

Mtoto:kumbe ni kazi hivi?

Mama:malizia kabla babayako hajaja

Mtoto:kwani akija itakuwaje

Mama:fanya haraka ingiza uzi kwenye sindano, tumalize kushona pazia, nimuandalie chakula kabla hajarudi
 
Mama:ingiza haraka

Mtoto:wapi?

Mama:kwani huoni shimo? We mwanaume bwana

Mtoto:nashindwa mama

Mama:jitahidi nakutegemea

Mtoto:kumbe ni kazi hivi?

Mama:malizia kabla babayako hajaja

Mtoto:kwani akija itakuwaje

Mama:fanya haraka ingiza uzi kwenye sindano, tumalize kushona pazia, nimuandalie chakula kabla hajarudi

hahahahaha
 
Haina mashiko.
Mashiko ya nini? Yaani hayo maneno kwenye joke: ingiza kwenye shimo, fanya haraka etc hayakufanyi kustuka?Joke ni suspense builder na nimeipenda sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom