Mama na mwana forum

Mama na mwana forum

annie92

New Member
Joined
May 10, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Habari nzuri kwa kina mama Dar es salaam.. Napenda kuwatangazia na kuwa karibisha kwenye SPECISL EVENT inaitwa MAMA NA MWANA tutaongelea kuhusu afya ya mwanamke anaetarajia kuwa mama(mjamzito), anaetaka kuwa mama mbeleni na afya ya mtoto kabla na bäada ya kuzaliwa na mama pia baada ya kujifungua!.. Itakua JUMAMOSI TAR 20 si y Kukosa.. Ungependa kuhudhulia na kujifunza mengi karibu share pia kwa itakae mfaa. NO 0653540658
 
Back
Top Bottom