Mama mwenye nyumba ananitaka

Unanhofia mume pekee? Vipi UKIMWI haukuogopeshi
 
As long as si mkeo achana naye
 
Kama mnakaa nyumba moja au ndani ya fensi moja jaribu kufikiria siku amegundua kambana mkewe naye amekiri kuwa mnakula uroda walahi utaomba dunia ichimbike shimo uingie halafu lijifunge historia yako iishie hapo
 
soon mtaona manyoya wakuu

Nimeona tu niwape taarifa!
Nawasilisha
Nahisi tutaona manyoya ya aina mbili ya sehemu ya ku-poop ya mwanaume na ya sehemu ya ku-pee ya mwanamke. Yaani haya yote ni kiashiria hawa wote wa jinsia mbili tofauti washaliwa. Muosha huoshwa.
 
Kumbe na ww mwenyewe unataka mimi nilidhani unachukua hatua mbadala kupambana na kadhia hiyo haya endelea
 
Nahisi tutaona manyoya ya aina mbili ya sehemu ya ku-poop ya mwanaume na ya sehemu ya ku-pee ya mwanamke. Yaani haya yote ni kiashiria hawa wote wa jinsia mbili tofauti washaliwa. Muosha huoshwa.
Kijana sio lazima ucoment!
funga domo hilo
 
Sikushauli kabisa kuhusu swalahilo na kuwa na hofu kabisa ya muumba wako naokopa sana dhambi ya udhinifu nikubwa na mungu hapendi, nakwanini ukimbilie kula nyama mbichi nawakati yakupikwa nayenyeladha ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…