kazaula0808
Member
- Aug 2, 2014
- 63
- 28
Utapungukiwa nini ukitoka naye
Huku jf watu wenye mawazo yenye uzima ni wachache saana na wengi hukaa kimya. Wenye mawazo potofu ndio wengi.Halafu tukikaa kijiweni muda mwingine huwa tunashauriana vibaya,
Wewe soma hata baadhi ya comments hapo juu,
Awe na msimamo thabiti,
Mengine hayahitaji ushauri, kula tu, utakaa bure miaka yote hutolipa kodi, fursa inaanzia sokoni- Mutahaba
Nunua KY uwe nayo ndan hata mme wake akkuta itakua rahis kirainishi kitakuepoNaombeni ushauri jaman Mimi ni kijana wa kiume nimepanga Chumba kwenye nyumba moja hapa mjini na ninaishi na familia ambayo imenipangisha chumba (yaani tunaishi kwenye nyumba moja)
Ila tatizo kubwa sana mama mwenye nyumba ananilazimisha nitokenae kimapenzi wakati ana mume wake. me kwan upande wangu nimeshamwambia tayari kama haiwezekani sasa ananisumbua mda mwingine anaingia chumbani kwangu na kuanza kunilazimisha tufanye mapenzi ila namkatalia.
Jaman huu usumbufu ni takribani mwenzi wa pili unaenda sasa.
Unayosema ni ya kweli kabisa, humu kila mtu ana akili na mawazo yake, anayeomba ushauri anatakiwa awe makini SanaHuku jf watu wenye mawazo yenye uzima ni wachache saana na wengi hukaa kimya. Wenye mawazo potofu ndio wengi.
Sasa asipo jiongeza na akili zake akitegemea ya humu lazima amle huyo maza.
Ila paka amelileta hapa yupo dilema anataka kumla, ila anataka go ahead...
Msimamo,msimamo,msimamo