Hawajui wanawake, watamdhalilisha muda si mrefu.Kama hadithi yako ni ya kweli basi utafungwa jela muda si mrefu kwa kosa la kutaka kubaka. Wanawake hawashindwi lazima atakutia adabu tu. Mgonge wakati unatafuta pa kwenda.
Labda hujamuelewa tu! Yeye anataka mtoke outing na si kimapenzi wewe unahisi anataka mtoke kimapenzi!!Naombeni ushauri jaman Mimi ni kijana wa kiume nimepanga Chumba kwenye nyumba moja hapa mjini na ninaishi na familia ambayo imenipangisha chumba (yaani tunaishi kwenye nyumba moja)
Ila tatizo kubwa sana mama mwenye nyumba ananilazimisha nitokenae kimapenzi wakati ana mume wake. me kwan upande wangu nimeshamwambia tayari kama haiwezekani sasa ananisumbua mda mwingine anaingia chumbani kwangu na kuanza kunilazimisha tufanye mapenzi ila namkatalia.
Jaman huu usumbufu ni takribani mwenzi wa pili unaenda sasa.