SWEET HUSBAND
Member
- Aug 22, 2012
- 97
- 57
Enyi wadada na wamama wa kileo,tufunge tumwombe Mungu atusaidie tuje kuwa mama wakwe wema wenye upendo wa kweli sio wa kinafiki.Naandika tu lakini nilishamwachia Mungu afanye anavyopenda yeye ila sasa ninazidi kuumizwa.
Hivi kina dada wa humu niambieni,wewe ukiwa na mimba huwa unamwambia mama mkwe? Yamenikuta sikusema ila hua naenda kusalimia wakwe zangu na tumbo wanaliona,sasa mama anasema why sijamwambia maana ndio nimejishaua tunaongea nae kwenye simu yuko mkoani nikajidai nimechoka ila this week ndio naweza kutua mzigo mama,looooh!!! najuta anashangaa kwani wewe ni mjamzito?mbona hujawahi kuniambia!
Niko mama sasa si hua unaniona jamani,anasema nilipaswa nimwambie. Mwenzenu hata mama yangu hua simwambii ananionaga tu tumbo hilo.
Ninachoshangaa ni mimba ya pili ya kwanza pia sikusema waliniona tu.Naumiaje sasa changanyia sipendwi na mama mkwe !Nimelia tu mwenyewe nimefuta machozi nimezama JF kujifariji!
Msiniponde maana mume ndo kashaniponda anasema nijitakia kulia kwani wewe ni mgeni na mama mkwe wako!wali sikuambii nyamaza na kilichokufanya umpigie ni nini?kaondoka akirudi namnunia live!!
Msimtukane mume wangu,nitaumia zaidi,sorry kwa mipaka.
PLEASE PRAY FOR MAMA WAKWE WOTE NA SISI PIA TUWE NA UPENDO WA KWELI!!inafsi ninaupendo sana na wakwe zangu,ni basi tu mama huwa ananikwaza sana.
Hivi kina dada wa humu niambieni,wewe ukiwa na mimba huwa unamwambia mama mkwe? Yamenikuta sikusema ila hua naenda kusalimia wakwe zangu na tumbo wanaliona,sasa mama anasema why sijamwambia maana ndio nimejishaua tunaongea nae kwenye simu yuko mkoani nikajidai nimechoka ila this week ndio naweza kutua mzigo mama,looooh!!! najuta anashangaa kwani wewe ni mjamzito?mbona hujawahi kuniambia!
Niko mama sasa si hua unaniona jamani,anasema nilipaswa nimwambie. Mwenzenu hata mama yangu hua simwambii ananionaga tu tumbo hilo.
Ninachoshangaa ni mimba ya pili ya kwanza pia sikusema waliniona tu.Naumiaje sasa changanyia sipendwi na mama mkwe !Nimelia tu mwenyewe nimefuta machozi nimezama JF kujifariji!
Msiniponde maana mume ndo kashaniponda anasema nijitakia kulia kwani wewe ni mgeni na mama mkwe wako!wali sikuambii nyamaza na kilichokufanya umpigie ni nini?kaondoka akirudi namnunia live!!
Msimtukane mume wangu,nitaumia zaidi,sorry kwa mipaka.
PLEASE PRAY FOR MAMA WAKWE WOTE NA SISI PIA TUWE NA UPENDO WA KWELI!!inafsi ninaupendo sana na wakwe zangu,ni basi tu mama huwa ananikwaza sana.