Mama mkwe ananing'angania


Badilisha namba ya simu
 
Huyo hafai kabisa wala hana sifa za kuwa mke otherwise kama sifa ya mke mwema ni sura na umbo! Mwache UKIMWI utamwonyesha kituo cha mwisho cha starehe za ujana!


 
Usijiendekeze kwasababu umeweza kuwanunua familia nzima.

Hutaweza kununua moyo wa mtu...hizo ni tamaa tu.

Fungua kurasa mpya na vijipesa vyako...acha hizo-ni za kizamani(eti kupiga dada na mdogoake)
 
Usijiendekeze kwasababu umeweza kuwanunua familia nzima.

Hutaweza kununua moyo wa mtu...hizo ni tamaa tu.

Fungua kurasa mpya na vijipesa vyako...acha hizo-ni za kizamani(eti kupiga dada na mdogoake)

huyo mama mkwe nae kilaza ina maana huyo mdogo mtu nae akizingua atataka alipeleke yeye mwenyew sa sijui jamaa atapiga na mama mtu...
 

Kuhusu mdogo mtu!
 

Unashindwa kuwa na maamuzi na jambo dogo kama hili mkuu. ..Piga chini wote.
 

Mizengoo unataka kuchukua mtu na dadake? Sio Mbaya hata waziri Mkuu alipata kufanya hivi ...

Kiafrika ukitoa Mahari mahala ...ukaghairi basi option ni kurudishiwa Mahari au kuoa kwenye Hiyo familia bure..sio AJABU
 
Huwezi kumuoa mtu au kuolewa na mtu kwa kumuonea huruma
"marry some one u cerebrate not tolerate" umenielewa mkuu?
 
Yan hapo inapendwa pochi,hata hupendw mkaka,achana na hiyo familia
 
Hivi wewe umesoma chuo kipi? Mwanafunzi wa chuo ndio anaandika namna hii?

Hicho ni chuo cha makanjanja na wazee wako walipoteza wakati na fedha zao bure kukupa elimu ambayo huwezi kuitumia hata kwa kuandika sawa.

Mchawi
 
Huyo mama mkwe anapenda hela zako,hela unazotuma zinamchanganya,na iwapo utakubali kuoa mdogo mtu utafanya hiyo familia wasielewane kwani dada mtu(ex wako)atawasumbua,sikushauri uendleze ukaribu na hiyo familia,fungua ukurasa mpya mbali nao kuepuka usumbufu
 
Mtu anayejivuna simpendi....ohh nimemsaidia sana,natunza familia yao,nampa mama yake pesa na blah blah kibao....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…