Mama mkwe ananikonyeza

Mama mkwe ananikonyeza

Big Lion

Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
46
Reaction score
15
Mama mkwe wangu bado anaonekana kijana. Weekend tulienda kumtembelea tukiwa sebuleni pale mimi na yeye, mchumba alikuwa jikoni mama alikaa vibaya nikasogeza macho kuangalia pembeni na kujidai sioni chochote.

Tukaendelea kupiga story kumwangalia machoni akanikonyeza.

Yaani mimi sijaelewa alikuwa anamaanisha nini huyu mama.
 
ulijuaje kama anakukonyeza kama hukuwa interested? kwann umuabishe mama mzaa chema? lazma utakuwa na matatzo au utoto unakusumbua.
 
Siungemuuliza mama unamaanisha nini, halafu ujue hu ni sawa na mama yako mzazi
 
Ni ugonjwa wa macho, kope za macho yake zina-flick intermittently
 
ana kengeza huyo wewe ,hembu nipe namba yake kwanza nimuulize
 
jicho lake bovu huyo mama namjua
 
Sasa wewe jifanye kidume ku.din.da uombe mzigo alafu utaona kitakachokutokea baada ya hapo.
 
Back
Top Bottom