Mama mkwe amevunja ndoa yangu

Mama mkwe amevunja ndoa yangu

Halafu mkuu hujasema kama kweli ulimkuta bikira siku ya honeymoon yenu. Maana umesema alikuambia yeye hajaguswa. Hebu funguka kidogo
bikra haikuwepo kwani akutoka hata damu, ila akajifaragua kwamba huenda ilitoka kwenye kazi au kendesha baiskeli, nikaona isiwe shida kwani nimeuziwa mbuzi kwenye gunia, ingekuwa agano la kale kwa mzee musa angepigwa mawe mpaka kufa.ila sasa tupo kizazi cha mwisho kwenye agano jipya.sikujali kwa uongo wake.
 
Chief nakushauri tena kama Mtanzania mwezako achana nae tena kaa nae mbali kama motoni,kama alikukosa kipindikile kukutoa roho sasa utatolewa,pia Mara bikira Mara alitendwaa,wewe unadhani unajua mwenyewe kutongoza!?Fanya mambo yako achana nae
note mkuu nitajipanga
 
bikra haikuwepo kwani akutoka hata damu, ila akajifaragua kwamba huenda ilitoka kwenye kazi au kendesha baiskeli, nikaona isiwe shida kwani nimeuziwa mbuzi kwenye gunia, ingekuwa agano la kale kwa mzee musa angepigwa mawe mpaka kufa.ila sasa tupo kizazi cha mwisho kwenye agano jipya.sikujali kwa uongo wake.
Pole sana mkuu, ila huyu mtu kwa ka historia kake ulivyoeleza namfananisha na demu mmoja nilikutana nae miaka kadhaa Dom. Ana features kama ulizozielezea na kabila pia kachanganya unyalu na huko nchi ya jirani. Ana figure nzuri na ni mzuri. Ila jeuri na mwongo mwongo. Sasa sijui kama ana undugu na huyu. Nami nilikua nampenda ila baadae nikanyoosha mikono juu. Halafu ana matusi, kukuita msengelema wala haoni hatari
 
Watoto wapo wengi kaa na mwanamke ambaye atakuheshimu nakukujali pale unapokuwa na matatizo,hapo hujaumwa kbsaa
 
Ngumu kumesa, pamoja na usengerema wote aliokufanyia bado unaendelea kuamini mimba ni yako. Ningekuwa nshampasua long time agooo
nasubiri ajifungue ili nikacheki D.N.a, kwani maelezo niliyopata kwa wadau wengi wanasema kabila lao huwa hawachagui cha kaka , dada , mjomba , wote ni kama maharage ya mbeya anapokutana na pua ndefu mwenzake , wanamegana sana ili damu isiende mbali, pia na hizi takwimu za mkemia mkuu huenda nikajua ukweli hapo atakapo jifungua, ninasubiri kwa hamu kama vile mlinzi angojeavyo kupambazuke asubuhi.
 
Pole sana mkuu, ila huyu mtu kwa ka historia kake ulivyoeleza namfananisha na demu mmoja nilikutana nae miaka kadhaa Dom. Ana features kama ulizozielezea na kabila pia kachanganya unyalu na huko nchi ya jirani. Ana figure nzuri na ni mzuri. Ila jeuri na mwongo mwongo. Sasa sijui kama ana undugu na huyu. Nami nilikua nampenda ila baadae nikanyoosha mikono juu. Halafu ana matusi, kukuita msengelema wala haoni hatari
tabia zao zina fanana mkuu kwani wote wanaringa km vile hawaendagi haja, kiburi kwao ni desturi na dharau kwa watu wa jamii ingine ni km wimbo wao wa taifa
 
kwenye ndoa kunyimwa papuhi jambo la kawaida sana.Tafuta mchepuko ujichapie hapo hakuna kitu
 
Yani mwanamke anifanyie yote hayo na bado ANITUKANE!!!
Hata mama yangu mzazi hajawahi kunitukana, kama ni mimi huyo ningekuwa nishamsahau kwa vitendo i mean talaka straight with no hesitation..
 
Asilimia 85% ya watu wanaomba ushauri tayari huwa na majibu na maamuzi ya nini wafanye.Usitupotezee muda majibu unayotayari.
 
Nimgekuwa wewe ningefanya hivi.

1. Ningemhudumia kipindi cha ujauzito mpaka mtoto azaliwe.

2. Mtoto akizaliwa ningehakikisha nacheck DNA

3. Ningeahirisha kwanza kulala naye kimapenzi mpka uhusiano urudi vizuri kama utarudi na kucheck afya.

4. Kama moyo wako bado una hisa naye. Ningemwekea conditions kurudiana. Kwa mfano asitukane, na kadhalika na kadhalika. Akivunja hizi conditions hapo utapata maamuzi. Na umwambie akivunja conditions matokeo yake ni kuachana.

5. Usimshirikishe mama yake matatizo yenu. Ni kesi ya ngedele kumpelekea nyani.


6. Tulipewa shule ya kuweka spy software kwenye simu kuspy watoto. Mwekee kwenye simu yake. Utajua A to Z.

WANAUME: baada ya haya yooote mtarudiana. Sijui tukoje. Ila atapojifungua shape lake litakuwa halipo. Labda, labda utaghairi kwenye issue ya shape.
 
Life is too short my broda! KIMBIZA huyo kima
 
Haki ya nani temana nae kamwagwa hana pakwenda anajifanya anataka kurudi kwako
 
Mkuu kwa uvumilivu wako huo nachelea kuamini kwamba hilo eneo ulilopo mwanamke ni huyohuyo tu!
 
huu ni upande mmoja mwamba ngoma huvutia ngozi kwake.......
 
Umempa ukweli, pia hao watu kama sjakosea ni mrwanda naskiaga lazma azae na mrwanda mwenzie piga ua
 
Nadhan kuna.udhaifu alougundua mama mkwe wko,na kibaya zaid haya mambo hayataki uhuru uskuwa na mipaka.ya kwako yawe ya kwako,na ya wakwe zko iwe na mipaka.hapo unawezapona lkn bila hivo lzm ndoa nyingi zinawezakuwa hatarini kwan kila mtu na familia inakuwa na hulka tofauti bila kujali iman ya kidini.
 
Mwanamke anitukane kama mbwa ainyanyase kwa jeuri gani?? Hivi wanaume WA hivi mpo kweli?? Ingekua n mm ningepiga talaka na ukoo mzima wasinijue shwain!!
Safi sana nimekupenda bure
 
Back
Top Bottom