mpenda siri
Member
- Dec 30, 2015
- 79
- 40
- Thread starter
- #61
bikra haikuwepo kwani akutoka hata damu, ila akajifaragua kwamba huenda ilitoka kwenye kazi au kendesha baiskeli, nikaona isiwe shida kwani nimeuziwa mbuzi kwenye gunia, ingekuwa agano la kale kwa mzee musa angepigwa mawe mpaka kufa.ila sasa tupo kizazi cha mwisho kwenye agano jipya.sikujali kwa uongo wake.Halafu mkuu hujasema kama kweli ulimkuta bikira siku ya honeymoon yenu. Maana umesema alikuambia yeye hajaguswa. Hebu funguka kidogo