Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Baada ya kutoa thread ya polisi m.shenz ambapo niliitwa mbea na maneno mengi yakatolewa dhidi yangu,leo tena nimekuja na mpya.

Ni kawaida sana sisi waandishi kuitwa wambea,wakuda,wanafiki na n.k,hiyo ndio kazi yetu we don't care anyway.

Mama miwani (si jina lake halisi) ni mama hatari mkazi wa kijiji cha Ilogi ktk wilaya ya Kahama.Neno ilogi ni la kisukuma likiwa na maana ya "mchawi"(nitaelezea siku nyingine kuhusu kijiji hiki).

Mama huyu ambaye nilipata kumfahamu tangu akiwa Musoma,alifukuzwa hapa Musoma kwa tuhuma za uchawi ndio akakimbilia Ilogi ambako hata baada ya kufika huko tabia yake hakuiacha.

Katika tukio moja la kifo cha utata cha mtoto wa miaka 8 ambaye alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda,mama huyu alihusishwa na tukio hilo kwa ushahidi dhahiri.

Ni mwanachama mwaminifu wa chama kinachojiona ndio mungu mtu wa Tanzania,kijiji kizima cha Ilogi kina habari zake na alihusishwa na mauaji ya mlinzi wake ambapo inasemekana amemficha msukule.Ana jumba kubwa linalotisha hata mchana.
 
Mama miwani njoo kipande hii tafadhali utoe ufafanuzi wa mashtaka haya....Mkuu wiseboy, ni njia ipi unadhani huenda ikawa suluhisho la tabia yake? Umewahi/mmewahi kujaribu?
 
Sisi tuliozungukwa na damu ya YESU (kwa imani yangu pls) hakuna mchawi,pepo wala upuuzi wowote waweza kutugusa.
 
Baada ya kutoa thread ya police m.shenz ambapo niliitwa mbea na maneno mengi yakatolewa dhidi yangu,leo tena nimekuja na mpya,ni kawaida sana sisi waandishi kuitwa wambea,wakuda,wanafiki na n.k,hiyo ndo kazi yetu we don't care anyway,mama miwani (si jina lake halisi) ni mama hatari mkazi wa kijiji cha ilogi ktk wilaya ya kahama,neno ilogi ni la kisukuma likiwa na maana ya "mchawi"(nitaelezea siku nyingine kuhusu kijiji hiki) mama huyu ambaye nilipata kumfahamu tangu akiwa musoma,alifukuzwa hapa musoma kwa tuhuma za uchawi ndo akakimbilia ilogi ambako hata baada ya kufika huko tabia yake hakuiacha,ktk tukio moja la kifo cha utata cha mtoto wa miaka 8 ambaye alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda,mama huyu alihusishwa na tukio hilo kwa ushahidi dhahiri,ni mwanachama mwaminifu wa chama kinachojiona ndo mungu mtu wa Tz,kijiji kizima cha ilogi kina habari zake,na alihusishwa na mauaji ya mlinzi wake ambapo inasemekana amemficha msukule,ana jumba kubwa linalotisha hata mchana.

Dah wewe ni mwandishi wa habari, poor Tanzania mauaji ya vikongwe kwa namna hii yataisha kweli? Shame on you!
 
alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda[/QUOTE]
Daah! Akawa anainuka kuendelea kufanyaje???
 
Dah wewe ni mwandishi wa habari, poor Tanzania mauaji ya vikongwe kwa namna hii yataisha kweli? Shame on you!

waging shame on him for what? ulitaka habari hii iandikweje? huna hata point uliyochangia,au na wewe unatoka familia za wachawi? ametajwa mama miwani,jina bandia hajawa exposed public kiasi cha kumfanya adhurike,nyambaf zako.
 
Wewe huyu mama kada wa CCM mwenye gari nyeupe maarufu kama mchomoko ni mchawi!!!? hata acha nifuatilie kwa undani kwani tukio la mlinzi nalifahamu japo halijafahamika kama linahusiana na uchawi. NB; lakini ndugu hakikisha unachokisema kiwe na ukweli kwani ni dhambi kubwa kumtuhumu mtu pasipo kweli. Laiti kama ungesema kuhusu mzee Philipo Magendo alivyokuwa anaogopewa hasa ukitaka kuchuana nae ktk nafasi za kisiasa alivyokuwa anawazima wapinzani wake hapo ningekuelewa kidogo kwani hakuna asiyemfahamu,hata hivyo vijana wa CCM wamemvaa na kushindwa vibaya. Huyu mama namfahamu ni mtu mwenye hekima sana hata hivyo nakuachia wewe hiyo hukumu kama Pilato.
 
Daah! Akawa anainuka kuendelea kufanyaje???

nami pia hapo nimeshindwa kupaelewa[/QUOTE]

Maiti yake ikiwa imelala kitandani ilikuwa ikiamka na kurudi kulala hali iliyowafanya waombolezaji kutimua mbio,waliporudi wakaikuta maiti imeendelea kufa
 
Baada ya kutoa thread ya police m.shenz ambapo niliitwa mbea na maneno mengi yakatolewa dhidi yangu,leo tena nimekuja na mpya,ni kawaida sana sisi waandishi kuitwa wambea,wakuda,wanafiki na n.k,hiyo ndo kazi yetu we don't care anyway,mama miwani (si jina lake halisi) ni mama hatari mkazi wa kijiji cha ilogi ktk wilaya ya kahama,neno ilogi ni la kisukuma likiwa na maana ya "mchawi"(nitaelezea siku nyingine kuhusu kijiji hiki) mama huyu ambaye nilipata kumfahamu tangu akiwa musoma,alifukuzwa hapa musoma kwa tuhuma za uchawi ndo akakimbilia ilogi ambako hata baada ya kufika huko tabia yake hakuiacha,ktk tukio moja la kifo cha utata cha mtoto wa miaka 8 ambaye alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda,mama huyu alihusishwa na tukio hilo kwa ushahidi dhahiri,ni mwanachama mwaminifu wa chama kinachojiona ndo mungu mtu wa Tz,kijiji kizima cha ilogi kina habari zake,na alihusishwa na mauaji ya mlinzi wake ambapo inasemekana amemficha msukule,ana jumba kubwa linalotisha hata mchana.

Nyie ndo mnachochea wananchi kuchukuwa sheria mkononi. Huwezi kumjua mchawi kama wewe siyo mchawi. Hivyo wewe ni mchawi pia.
 
Back
Top Bottom