Na nyinyi mliliamini gazeti la Mwananchi?
Lakini mbona wasauzi hawatupendi kwa wale wanaoishi kule
Inafurahisha sana Na TBC wamedsnganya kuwa Mh Rais Kikwete ndio pekee tu ataksyeongea jamani waandishi wetu be careful. Ongea na data wameongea wengi na yeye bado hajaongea. Kama walikuwa hawana programme approved ni vema wangekaa. Kimya .nimeamua kuangalia mojamoja kwa moja Madiba Chanel maana TBC anaingilia kila dakika na unakosa trend.
Mkuu Balantanda, sina sababu kubwa ya kutokuliamini gazeti la mwananchi, lakini kuna member mmoja hapa amesema Mama Maria Nyerere ametajwa tu jina lakini sura yake haikuonyeshwa kwenye runinga hivyo inawezekana ikawa kweli kwamba hayupo South, ila wawakilishi wake.
Tiba
hata sisi tunafatilia kupitia tv.. Nampenda sana mama maria nyerere, ila ni kama ume'exaggerate mzee.. Kushangiliwa sana?? Au kwako sana ina maana gani? Mi naona kashangiliwa kawaida na ni kutokana na jina la mwisho 'nyerere'..
R.i.p nyerere
r.i.p mandela
r.i.p nkhuluma
Ni lini tabia hii ya kujadili majina na haiba za watu humu jamvini zitakoma
Sasa hivi shughuli za kuuhifadhi mwili wa Mandela zikiendelea, MC amerudi kwenye podium na kutambulisha dignitaries ambao ndio wameingia. Lakini ilivyofika kwa Mama maria nyerere ukumbi mzima umeshangilia.
Huyu mama ni mama wa taifa,tanzania tunamchukulia poa but bado anaheshimika.
Sasa hivi shughuli za kuuhifadhi mwili wa Mandela zikiendelea, MC amerudi kwenye podium na kutambulisha dignitaries ambao ndio wameingia. Lakini ilivyofika kwa Mama maria nyerere ukumbi mzima umeshangilia.
Huyu mama ni mama wa taifa,tanzania tunamchukulia poa but bado anaheshimika.
Mkuu Balantanda, sina sababu kubwa ya kutokuliamini gazeti la mwananchi, lakini kuna member mmoja hapa amesema Mama Maria Nyerere ametajwa tu jina lakini sura yake haikuonyeshwa kwenye runinga hivyo inawezekana ikawa kweli kwamba hayupo South, ila wawakilishi wake.
Tiba
Unatakiwa kuwauliza wenzako akina FaizaFoxy, Ritz nk ambao kama ilivyo wewe binafsi hao wenzako hutumia muda
mwingi na bila sababu za msingi kumponda na kumdhihaki Mwl. Julius Kambarage nyerere kwa uzushi tu.
Heshima kubwa aliyoijenga Mwl ndani na nje ya nchi ndiyo inamuweka leo hii kikwete mbele ya kabisa kwa
wageni waalikwa kule South Africa.................Je kikwete ataacha legacy gani kuienedeleza heshima ya Tanzania
katika anga za kimataifa?
Kushangiliwa kwa mama maria Nyerere kunaonesha ukweli wa ubora wa mwl bila mipaka ndani na nje ya Tanzania.
Nyerere kama binadamu alikuwa na mapungufu yake, nyerere kama binadamu alikuwa na mazuri yake. Ritz au FaizaFoxy kama binadamu wana haki ya kuyazungumzia mapungufu ya nyerere na hata mazuri yake na bila kupangiwa. Hata hivyo wengi wanayazungumzia mazuri ya nyerere wakitokea wa kuzungumzia mapungufu (pasi kupotosha tuwaheshimu)
Joyce Banda anashangiliwa balaa