King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,671
- 68,630
Fake interpreter yupo?
hilo jina la mwisho ndio nani mkuu
Mbona jana ilitangazwa kuwa bibi hatoenda ila wameenda watoto wa mwalimu?
Preta una Visa wewe...Kama haujui alimaanisSamahani mkuu.......naomba nikumbushe Nkhuluma ni yupi tena.......?..ni wa huko huko Sauz.......?
Na nyinyi mliliamini gazeti la Mwananchi?Na mimi nilisikia hivyo, sasa nashangaa kusikia Mama Maria yuko South. Bahati mbaya sikuona akitambulishwa, isije ikawa ni maneno ya kutungwa tu.
Tiba
Bahati mbaya sikuona akitambulishwa, isije ikawa ni maneno ya kutungwa tu.
Tiba
Preta una Visa wewe...Kama haujui alimaanis
a nini!...
Alimaanisha Nkrumah.....Kwame
Nkrumah....
Sasa hivi shughuli za kuuhifadhi mwili wa Mandela zikiendelea, MC amerudi kwenye podium na kutambulisha dignitaries ambao ndio wameingia. Lakini ilivyofika kwa Mama maria nyerere ukumbi mzima umeshangilia.
Huyu mama ni mama wa taifa,tanzania tunamchukulia poa but bado anaheshimika.
Alimaanisha Nkuruma jaman, mbona mnapenda kumkalia mtu kooni hivi
Pumbafu! Mama maria kuwa mama wa Taifa hili na CCM kuna husiana nini! Acheni kuwa na akili fupi. Mama Maria Nyerere ni mama wa Taifa, siyo mama wa CCM.Ni mtu mkubwa sana, lkn hapewi heshima kama mama wa taifa hili.CCM oyeeee
Alimaanisha Nkuruma jaman, mbona mnapenda kumkalia mtu kooni hivi
Hapo mwisho umechemka. Ni NKRUMAH!
Unatakiwa kuwauliza wenzako akina FaizaFoxy, Ritz nk ambao kama ilivyo wewe binafsi hao wenzako hutumia muda
mwingi na bila sababu za msingi kumponda na kumdhihaki Mwl. Julius Kambarage nyerere kwa uzushi tu.
Heshima kubwa aliyoijenga Mwl ndani na nje ya nchi ndiyo inamuweka leo hii kikwete mbele ya kabisa kwa
wageni waalikwa kule South Africa.................Je kikwete ataacha legacy gani kuienedeleza heshima ya Tanzania
katika anga za kimataifa?
Kushangiliwa kwa mama maria Nyerere kunaonesha ukweli wa ubora wa mwl bila mipaka ndani na nje ya Tanzania.
Alimaanisha Nkuruma jaman, mbona mnapenda kumkalia mtu kooni hivi