Mama Lowassa avunja ngome za CCM Mwanza

Mama Lowassa avunja ngome za CCM Mwanza

Freedom tommorrow

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2015
Posts
1,795
Reaction score
1,132
Mama Regina Lowassa, jana aliunguruma huko Ilemela- mkoani Mwanza. Mkutano ambao ulijaza watu na kufanya baadhi ya watu kukosa nafasi. Ikumbukwe kuwa Magufuli alipita huko wiki iliyopita akutegemea kama alivyoondoka kuna mtu angekuja kuwamaliza CCM.

CCM WAMESHAPOTEZA KANDA YA ZIWA

Mama-Lowassa-620x308.jpg
 
Daaah.. Mama yetu safiiii...!!!

CCM kwishaaaa...!!!!😨😨😨💉💉💉✂✂🔨🔨🔓🔓

Ukomboziiiiii huooooo...!!! damn..!! ✌✌✌👏👏🙌🙌🙌
 
Viva Ukawa ✌✌✌✌✌✌
 
Kwa nia njema tu na kama siko sahihi nifundishe na nitakubali.Ni kwa nini baadhi ya viongozi wa jinsia ya kike waume zao hawaonekani wakiwa pamoja hata kwenye minuso ya kitaifa au hawajulikani kabisa
 
Mama Regina Lowassa, jana aliunguruma huko Ilemela- mkoani Mwanza. Mkutano ambao ulijaza watu na kufanya baadhi ya watu kukosa nafasi. Ikumbukwe kuwa Magufuli alipita huko wiki iliyopita akutegemea kama alivyoondoka kuna mtu angekuja kuwamaliza CCM.

CCM WAMESHAPOTEZA KANDA YA ZIWA

View attachment 301897
hana lolote na ushindi wa magufuli ni lazima hata kama wakija akina mama lowassa na wengine
 
Karantin babu! Yaan huko kwao kuna mmoja analala sitting room na mwingine chumban au wote wanalala na surual za jeans aina ya levis huku wakionekana kama karata ya J au Q
Kwa nia njema tu na kama siko sahihi nifundishe na nitakubali.Ni kwa nini baadhi ya viongozi wa jinsia ya kike waume zao hawaonekani wakiwa pamoja hata kwenye minuso ya kitaifa au hawajulikani kabisa
 
Sijapenda Heading yako, ...Mwanza hakuna ngome ya CCM.......Ni UKAWA kwenda mbele, labda Dodoma,Ruvuma,Katavi na Rukwa ndo kidogo unaweza kuita hivyo japokuwa nako watu wameshachoka taabu ziletwazo na maccm
 
Back
Top Bottom