ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,649
- 57,042
Kimbieni kwa mawakala maana Atm si ajabu ukakuta empty
Achata utan weweKimbieni kwa mawakala maana Atm si ajabu ukakuta empty
Ha ha ha ha ha ha hao ndo wa kwanzavp mambo ya ndani nao wamepata?
kazi na bata👍Hapo Lindi ni maeneo gani pazuri kula bata kwa hela ya mshahara.
😂😂😂😂Ndiyo maana nimeiona misururu mirefu kwenye ATM.Hii inaonesha wafanyakazi wanamaisha magumu sana.yaani Hela inaingia siku Moja misururu ya watu inajaa siku hiyohiyo
Na ndio wanaleta mzunguruko wa pesa mitaaniNdiyo maana nimeiona misururu mirefu kwenye ATM.Hii inaonesha wafanyakazi wanamaisha magumu sana.yaani Hela inaingia siku Moja misururu ya watu inajaa siku hiyohiyo
Halafu tukiwakopa wanatunyimaMmeanza kutukosesha raha si mpokee kimyakimya mpaka mtutangazie jamani?
Labda unaishi porini. Huku mjini digital money hadi kulipia huduma ya choo cha ummaNdiyo maana nimeiona misururu mirefu kwenye ATM.Hii inaonesha wafanyakazi wanamaisha magumu sana.yaani Hela inaingia siku Moja misururu ya watu inajaa siku hiyohiyo
Kwan ulikuwa hujui mkuuNdiyo maana nimeiona misururu mirefu kwenye ATM.Hii inaonesha wafanyakazi wanamaisha magumu sana.yaani Hela inaingia siku Moja misururu ya watu inajaa siku hiyohiyo
Mji upi huo mkuu ambao mshahara ukitoka tu msururu kwenye ATM hasa za NMB huwa haupo?? Bila hata kuambiwa mshahara ukitoka utajua tu maana wanajazana kwenye ATM balaaLabda unaishi porini. Huku mjini digital money hadi kulipia huduma ya choo cha umma