Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,734
- 27,098
hongereni...
mitano tena
mitano tena
Tayari wamepatavp mambo ya ndani nao wamepata?
kwa hiyo wanakukera?Mji upi huo mkuu ambao mshahara ukitoka tu msururu kwenye ATM hasa za NMB huwa haupo?? Bila hata kuambiwa mshahara ukitoka utajua tu maana wanajazana kwenye ATM balaa
Hapana mkuu, hela NI za kwao kwanini nikereke Mimi??kwa hiyo wanakukera?
Acha uongoLabda unaishi porini. Huku mjini digital money hadi kulipia huduma ya choo cha umma
Mmeanza kutukosesha raha si mpokee kimyakimya mpaka mtutangazie jamani?